Mtoto wa kike huitwa "BINTI" wa kiume anaitwaje?

Wakiume ni 'bin'mfano
Osama bin Laden
Hemed bin Jumaa
John bin Paulo etc

et al
 
Kwahiyo huyo bibi alikua bikra? Mkuu umeanza kuchungulia vikongwe
 
Ahsante kwa ufafanuzi
 
Dah..... Mathematically....
Kama a WOMAN inaleta a MAN...
Basi BINTI nayo italeta BIN...
rahisi tu[emoji13] [emoji13]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Mtoto wa kiume huitwa "bin"
Hii ni kweli kabisa, isipokuwa nje ya utamaduni wa pwani sijaisikia, labda hapo na pale kati ya Waislamu. Hata kamusi zangu kuanzia Sacleux (alikusanya msamiati miaka 100 iliyopita) hadi TUKI (=sasa TATAKI, Chuo Kikuu cha Dar) zinataja "bin".
Kamusi ya TUKI Swahili-English: "bin nm [a-/wa-] son of: Khamis bin Abdallah, Khamis the son of Abdallah. "
Kamusi ya Kiswahili Sanifu³: "bin nm (-) [a-/wa-] mwana wa kiume wa: Juma ~ Ali"
 
Mada tamu hii....
Anyway mtoto wa kiume anaitwa shabab.....wakike anaitwa bint....

Kwa mujibu wa lugha ya kiarabu.

Hakuna so called Aisha bint Mohamad kurejea jinsia ya kike.

Wenye lugha yao ya kiarabu karibu kunikosoa
 
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...
Mtoto wa kiume anaitwa jembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…