Kingeke Mavoya
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 619
- 598
Agiza soda mkuu yaani umegusa gololi uko vyemaMtoto wa kiume huitwa bin.
Mfano Asha Said ni Asha Bint Said
john Mbelwa inakuwa John bin Mbelwa.
Hapo ndipo tunapata neno ubin au Jina la Baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agiza soda mkuu yaani umegusa gololi uko vyemaMtoto wa kiume huitwa bin.
Mfano Asha Said ni Asha Bint Said
john Mbelwa inakuwa John bin Mbelwa.
Hapo ndipo tunapata neno ubin au Jina la Baba.
Uchochezi huuMtoto wa kiume anaitwa binti[according to Aristotle]
sawa
Kwahiyo huyo bibi alikua bikra? Mkuu umeanza kuchungulia vikongweHapana mkuu hapa umetuburuza,waarabu wanatumia BINTI kwa mwanamke yeyote ambaye hajaolewa,msinielewa vibaya mimi nilifanya kazi na mama mmoja wa ki-Lebanon umri wake ulikuwa mkubwa wakuweza kuwa hata bibi lakini alikuwa ni binti,ni pia kulikuwa msichana ambaye pia alikuwa hajaolewa,walikuwa wakimchukulia kuwa ni binti...kwa lugha nyingine wanachukulia binti ni mwanamke bikira hivyo kutomuita binti mwanamke ambaye hajaolewa ni kama umemdharau
mwanaume utakuta alzagawi bin salim au haroun bin seifmuafaka mkuu.....
niongeze mifano kwa upande wa wanawake utasikia:
1. Sitti bint Saad
2. naima bint ally
Ahsante kwa ufafanuziKwa uelewa wangu hilo neno bin ni kwa kiswahili fasaha ni wa. Unaweza kuniiita JUMA bin Abdalah manaye ni JUMA wa Abdalah. Mana ya neno bin ni wa .inaonyesha huyu anamilikiwa na nani.ni kama binadamu mana yake ni wa ADAMU kiuhalisia. Mana yake Sisi ni wa ADAMU.Bin ADAMU = wa ADAMU.
Kwa kimasai ndio unaposikia Daniel ole Njoolay.ole ni wa . ila sio jina halisi ni kuonyesha kuwa daniel ni Wa njoolay.Christopher ole sendekeka. Yaani huyo Christopher ni wa Sendeka. Hata MTU akikuuliza huyu mtoto ni Wa nani utamjibu ni wa CHACHA . bin ni kiarabu likimaanisha wa. Hiyo inatumika kwa jinsia zote. Mfano kwa lugha ya kikurya ole/bin inatamkwa o pekee.mfano. MARWA o Mwita. Mana yake MARWA wa Mwita. Kwa kiarabu tungetamka MARWA bin Mwita na kwa kimasai tungetamka MARWA ole MWITA.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawaWakiume ni 'bin'mfano
Osama bin Laden
Hemed bin Jumaa
John bin Paulo etc
et al
Hii ni kweli kabisa, isipokuwa nje ya utamaduni wa pwani sijaisikia, labda hapo na pale kati ya Waislamu. Hata kamusi zangu kuanzia Sacleux (alikusanya msamiati miaka 100 iliyopita) hadi TUKI (=sasa TATAKI, Chuo Kikuu cha Dar) zinataja "bin".Mtoto wa kiume huitwa "bin"
Wakiume RijalMtoto wa kiume huitwa "bin"
Mtoto wa kiume anaitwa jembeNaomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...