Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Toa namba bhanaUsitupangie
Toa namba upate fursaUsitupangie
Mtoto wa kike, ukiombwa namba toa, hata kama humpendi huyo mwanaume.
Kama humtaki, tumia mbinu za ki-digitali:-
Atakapoanza kuchati na wewe; mpige mzinga mkubwa, kwa mfano; akununulie kiwanja n.k; hapo lazima akukimbie bila kumkwaza.Hii njia itakujengea heshima na haitakukwaza na watu.
Naomba namba😁😁Usitupangie
Na kwanini uombe nambaAtoe namba ili kitokee nini
Na kwanini uombe namba
Hakika....Na Kama ana hiyo hela ya kiwanja na uyo mdada hamtaki. Bora dada usitoe namba kwa mtu usiyemjua Wala kumuamini😝
Upewe koneksheniUnaomba namba ya nini
upewe koneksheni
Hapana Mimi sitazamisha yote hadi wewe uniruhusu kuwa nikuzamishie yote na ni lazima usindikize na maneno Raha utamu[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1751] Huwa mnasema ivoivo afu mnazamisha yote[emoji17]
😆mi sikuambii ila nakubinya Kwa nguvuHapana Mimi sitazamisha yote hadi wewe uniruhusu kuwa zamisha yote [emoji1732][emoji1732][emoji1732]