Mtoto wa kiume anaweza kujisimamia mwenyewe, wa kike usithubutu utalia! Hii ni kweli kipindi hiki cha digitali?

Na kwenye hizo kumbi umeona watoto wakike tu? Unasimamia hoja au upuuzi ambao hauna maana? Kufikiria mtoto wakike kwa namna hii una tatizo sehemu, uchunguzwe si bure
Na kwanini aitwe mtoto wakati tayari ni over 18?

unajidogosha ili uhurumiwe? tena na matusi juu?
 
Vimetoka mkuu sema hawa waliokuja baada ya yule wa kwanza ndio wamekua hamna kitu kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ikifika kwenye suala la mabint watu mashindwa kuwa objective kabisa na kutumia hisia kutokana na majanga yaliyowakuta! Siamini katika wanawake mliokutana nao wote ni wa hovyo, maana wa hovyo hawaksekani hata kwa wanaume pia. Turudi kwenye mada Wakuu
 
Na kwanini aitwe mtoto wakati tayari ni over 18?

unajidogosha ili uhurumiwe? tena na matusi juu?
Umesoma mada inahusu nini kweli? Rudi kwenye mada punguza mihemko
 
Ikifika kwenye suala la mabint watu mashindwa kuwa objective kabisa na kutumia hisia kutokana na majanga yaliyowakuta! Siamini katika wanawake mliokutana nao wote ni wa hovyo, maana wa hovyo hawaksekani hata kwa wanaume pia. Turudi kwenye mada Wakuu
Data zinaongea mkuu
 
nataka kuelewa upande wako na wengine wenye mawazo kama yako lakini muhimu kwenye upande huu digitali
Nashangaa mimi ndo unanipa maswali magumu magumu kuliko yule jamaa juu hapo
 
Ni kichekesho kwamba unawasiliana na msichana wa boarding kupitia mwalimu wake.
Ni kichekesho kwamba mwanafunzi ananyimwa access to the internet.
Hizo algorithms au android systems ,can only be learned when a person is young.
Once you grow up it is too late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…