Mtoto wa kiume kumwanzishia thread mwanaume mwenzio ni urofa

Mtoto wa kiume kumwanzishia thread mwanaume mwenzio ni urofa

Mkuu sio kwamba watu wanakupangia chakupost ila chai ikizidi ndio unakuta mtu anaboreka tu na nyuzi zako!haiwezekani unaandika kwamba upo chuo unasoma halafu baada ya masaa mawili unapost tena umefukuzwa kazi kwenye kampuni!ndio maana watu wanaboreka na nyuzi zako tena utakuta zimejaa Jf nzima!mm huwa na log off tu nisimalize bando langu bure
 
Hao wanaokaa kufatiliana Watu mtandaoni wengi Wao unawakuta ni jobless tu
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Kuna wanaume ni marofa wa kutupwa, iv inakuwaje mtoto wa kiume uliyekamilika unaanza kumufatilia mwanaume mwenzako na kumufungulia uz

Ee bhana ee pambanen na hali zenu mazee kila mtu na maisha yake bhana mimi ni beira na wewe ni wewe huwez kuwa mimi na mimi siwez kuwa wewe rofa mkubwa wewe mpuuz kabisa

Nahis utakuwa pilau wewe

Uchoko peleka nyumban kwenu

Hupend nyuz zangu mimi nilikwambia uje ukoment au ufungue nyuz zangu

Kwanini mwanaume unaanza kutafuta makiki na masifa kupitia jina la mwanaume mwenzio ambalo kalitengeneza kwa mda mrefu

Huo ni urofa pambanen na hali zenu kila mtu na maisha yake

Mimi nilijiunga humu mwenyewe
Kama wewe ulivyojiunga mwenyewe upuuz wako mpeleke aliyekuzaa, mpuuz wewe

Enz za kufatiliana zishagapita rofaa wewe

Mimi ndo msukuma wa mawe ukiendelea unachokitaka utakipata mngese wewe


LONDON BABY
Out of curiosity...

MNAPOANDIKAGA WANAUME WA DAR HIVI, WANAUME WA DAR VILE, HUWA INAKUWA NINI?
 
Endelea kutafuta mume utampata

Mashoga mnatabu sana kila saa mtanaka kupigwa kifi*lo

Umetoka kushikishwa ukutwa huko na mijemba unakuja hapa kutafuta mume
Busara muhimu sana kwenye kuandika... NAIKUMBUKA SIGNATURE YA JF FOUNDER
 
Back
Top Bottom