Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Mtoto wa kiume anakuwa na hisia kwa namna yeyote vile kama binaadamu wengine. Ni vile wewe mzazi unamsaidia mtoto wako kukua kwa namna ambayo utamsaidia na kumuongoza.
Mtoto wa kiume anastahili kuogopa na hata kulia. Mzazi acha kumkataza mtoto wako wa kiume kulia maana tuna tabia ya kuwaambia mtoto wa kiume halii.
Tabia hii inawafanya watoto wakuwe katika misingi ya kuamini watoto wa kiume hawatakiwi kulia wala kuumia, hivyo wakiwa watu wazima wanajikuta wanabeba mambo mengi katika mioyo yao & wanashindwa kuhimili maumivu yake. Pia inaweza kuwaathiri kupata hata magonjwa ya hofu.
Kulia ni moja ya njia ya kutoa sumu moyoni au mwilini na njia ya kupunguza uwezekano wa kupata huzuni katika mioyo yao.
#Malezi
Mtoto wa kiume anastahili kuogopa na hata kulia. Mzazi acha kumkataza mtoto wako wa kiume kulia maana tuna tabia ya kuwaambia mtoto wa kiume halii.
Tabia hii inawafanya watoto wakuwe katika misingi ya kuamini watoto wa kiume hawatakiwi kulia wala kuumia, hivyo wakiwa watu wazima wanajikuta wanabeba mambo mengi katika mioyo yao & wanashindwa kuhimili maumivu yake. Pia inaweza kuwaathiri kupata hata magonjwa ya hofu.
Kulia ni moja ya njia ya kutoa sumu moyoni au mwilini na njia ya kupunguza uwezekano wa kupata huzuni katika mioyo yao.
#Malezi