Mtoto wa Kiume naye ni Binadamu kama wengine, acha kumkataza kulia anapokuwa na maumivu

Mtoto wa Kiume naye ni Binadamu kama wengine, acha kumkataza kulia anapokuwa na maumivu

Kheeee kulia lia huko vipi tena!!! Mnataka kuelekea kubaya sasa.Mwanaume analiaje bwana?
 
Mtoto wa kiume anakuwa na hisia kwa namna yeyote vile kama binaadamu wengine. Ni vile wewe mzazi unamsaidia mtoto wako kukua kwa namna ambayo utamsaidia na kumuongoza.

Mtoto wa kiume anastahili kuogopa na hata kulia. Mzazi acha kumkataza mtoto wako wa kiume kulia maana tuna tabia ya kuwaambia mtoto wa kiume halii.

Tabia hii inawafanya watoto wakuwe katika misingi ya kuamini watoto wa kiume hawatakiwi kulia wala kuumia, hivyo wakiwa watu wazima wanajikuta wanabeba mambo mengi katika mioyo yao & wanashindwa kuhimili maumivu yake. Pia inaweza kuwaathiri kupata hata magonjwa ya hofu.

Kulia ni moja ya njia ya kutoa sumu moyoni au mwilini na njia ya kupunguza uwezekano wa kupata huzuni katika mioyo yao.

#Malezi
Una lengo zuri, ila unatakiwa utafakari kwanini culture karibu zote zinafanya tofauti na unachoshauri.

Kwa ujuzi wangu mdogo, jamii inatengeneza wanaume ambao imara, wanaoweza kufanya maamuzi ya kutumia akili bila kutegemea hisia peke ake.

Mtoto wa kiume ukimzuia asilie hovyo unamsababisha akue akijua kua kulia na kusikitika hakutatui tatizo na anatakiwa kuongea au kufanya jambo fulani.

Unadhani kama kila mwanaume angekua hajua kupuuzia hisia na kufanya maamuzi magumu leo dunia ingekua hapa ilipo?

Mambo yote magumu na yenye manufaa kwa jamii yanahitaji kufanya maamuzi magumu kwa kutumia akili na sio hisia.

Mfano: Una mtoto wa kiume ndani na kuna mtu mbaya amekuja kuwadhuru; utamwambia jifungie kwenye kabati uonyeshe hisia zako? Utataka ajilize kwa sababu anaogopa au utataka afanye maamuz ya kujilinda yeye na familia?

Huwezi kupata mwanaume ambaye anaweza kufanya maamuzi ya magumu na ya akili bila kumtengenezea msingi imara mapema. Na msingi imara na maanisha ajifunze kuacha kulaumu watu au mazingira, aache kujificha na kulia mambo yanapokwenda kombo, asimame na atafute namna ya kutatua changamoto zake na za jamii kwa ujumla.

Hii ndio sababu tangu enzi za mababu na mababu watoto wa kiume wanazuiwa wasionyeshe hisia sana kama wakike...na sidhani kama ukifanikiwa kubadilisha hilo utakua umefanya jambo la maana kwa jamii zaidi ya kutengeneza mashoga na wanaume wasio na faida.
Ndo hivo
 
Una lengo zuri, ila unatakiwa utafakari kwanini culture karibu zote zinafanya tofauti na unachoshauri.

Kwa ujuzi wangu mdogo, jamii inatengeneza wanaume ambao imara, wanaoweza kufanya maamuzi ya kutumia akili bila kutegemea hisia peke ake.

Mtoto wa kiume ukimzuia asilie hovyo unamsababisha akue akijua kua kulia na kusikitika hakutatui tatizo na anatakiwa kuongea au kufanya jambo fulani.

Unadhani kama kila mwanaume angekua hajua kupuuzia hisia na kufanya maamuzi magumu leo dunia ingekua hapa ilipo?

Mambo yote magumu na yenye manufaa kwa jamii yanahitaji kufanya maamuzi magumu kwa kutumia akili na sio hisia.

Mfano: Una mtoto wa kiume ndani na kuna mtu mbaya amekuja kuwadhuru; utamwambia jifungie kwenye kabati uonyeshe hisia zako? Utataka ajilize kwa sababu anaogopa au utataka afanye maamuz ya kujilinda yeye na familia?

Huwezi kupata mwanaume ambaye anaweza kufanya maamuzi ya magumu na ya akili bila kumtengenezea msingi imara mapema. Na msingi imara na maanisha ajifunze kuacha kulaumu watu au mazingira, aache kujificha na kulia mambo yanapokwenda kombo, asimame na atafute namna ya kutatua changamoto zake na za jamii kwa ujumla.

Hii ndio sababu tangu enzi za mababu na mababu watoto wa kiume wanazuiwa wasionyeshe hisia sana kama wakike...na sidhani kama ukifanikiwa kubadilisha hilo utakua umefanya jambo la maana kwa jamii zaidi ya kutengeneza mashoga na wanaume wasio na faida.
Ndo hivo
Hivi mwanaume kulia ni shoga?

Mbna uliandika vizuri mno, umekuja kuharibu mwishoni hapo.
 
Mtoto wa kiume anakuwa na hisia kwa namna yeyote vile kama binaadamu wengine. Ni vile wewe mzazi unamsaidia mtoto wako kukua kwa namna ambayo utamsaidia na kumuongoza.

Mtoto wa kiume anastahili kuogopa na hata kulia. Mzazi acha kumkataza mtoto wako wa kiume kulia maana tuna tabia ya kuwaambia mtoto wa kiume halii.

Tabia hii inawafanya watoto wakuwe katika misingi ya kuamini watoto wa kiume hawatakiwi kulia wala kuumia, hivyo wakiwa watu wazima wanajikuta wanabeba mambo mengi katika mioyo yao & wanashindwa kuhimili maumivu yake. Pia inaweza kuwaathiri kupata hata magonjwa ya hofu.

Kulia ni moja ya njia ya kutoa sumu moyoni au mwilini na njia ya kupunguza uwezekano wa kupata huzuni katika mioyo yao.

#Malezi
Mimi Mama alikuwa ananilazimisha kulia nilipokuwa kijana, nikimuuliza kwanini nilie alikuwa ananiambia nijiandae na maisha ya baadaye.....akimaanisha mapenzi. Sasa nalia tu kwa raha zangu mwenyewe wala sioni noma.
 
Mtoto wa kiume anakuwa na hisia kwa namna yeyote vile kama binaadamu wengine. Ni vile wewe mzazi unamsaidia mtoto wako kukua kwa namna ambayo utamsaidia na kumuongoza.

Mtoto wa kiume anastahili kuogopa na hata kulia. Mzazi acha kumkataza mtoto wako wa kiume kulia maana tuna tabia ya kuwaambia mtoto wa kiume halii.

Tabia hii inawafanya watoto wakuwe katika misingi ya kuamini watoto wa kiume hawatakiwi kulia wala kuumia, hivyo wakiwa watu wazima wanajikuta wanabeba mambo mengi katika mioyo yao & wanashindwa kuhimili maumivu yake. Pia inaweza kuwaathiri kupata hata magonjwa ya hofu.

Kulia ni moja ya njia ya kutoa sumu moyoni au mwilini na njia ya kupunguza uwezekano wa kupata huzuni katika mioyo yao.

#Malezi
I love you miss zomboko. Hakika nyuzi zako huwa na mengi ya kujifunza.
 
Jikaze .mtoto wa kiume wewe wanaume hawalii lii ovyo... mwisho wa kunukuu.
Mwisho wa siku vikiwazidi wanaona bora wajimalize tu
Kujiua Ni uamuzi wa kishujaa sna unafahamu kua nchin japani kujiua Ni ushujaa
 
Mtoto wa kiume anakuwa na hisia kwa namna yeyote vile kama binaadamu wengine. Ni vile wewe mzazi unamsaidia mtoto wako kukua kwa namna ambayo utamsaidia na kumuongoza.

Mtoto wa kiume anastahili kuogopa na hata kulia. Mzazi acha kumkataza mtoto wako wa kiume kulia maana tuna tabia ya kuwaambia mtoto wa kiume halii.

Tabia hii inawafanya watoto wakuwe katika misingi ya kuamini watoto wa kiume hawatakiwi kulia wala kuumia, hivyo wakiwa watu wazima wanajikuta wanabeba mambo mengi katika mioyo yao & wanashindwa kuhimili maumivu yake. Pia inaweza kuwaathiri kupata hata magonjwa ya hofu.

Kulia ni moja ya njia ya kutoa sumu moyoni au mwilini na njia ya kupunguza uwezekano wa kupata huzuni katika mioyo yao.

#Malez
Mi nilidhani unaongelea "kulia" kwenye tendo, ndiyo maana nikafuatilia haraka sana, kumbe unazungumzia kulia kabisa machozi ya maji tiririka yanayotokea machoni kupitia mashavuni?

Yaani unashauri kabisa wanaume walie wahoyoke kabisa kisa nini?

Acheni zenu hizo nyie!
 
Huyo mwanao unayemtengeneza utakuja juta,,,,,,,
kwanza kwanin ulie mwanaume lijali watakutia jambajamba walimwengu utakuwa fala mwisho wa siku
 

Hata wanaume hulia
 
Back
Top Bottom