Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #41
Unalazimisha. Unanyanyapaa. Huna hoja.
Haiko kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalazimisha. Unanyanyapaa. Huna hoja.
Kwani tatizo liko wapi kutumia block? na ni wapi viwanda na company za simu zimesema ni marufuku mwanaume kupiga block?
Kwanini uhisi na uone ni tatizo kwa mwanaume kutumia option ya block kwenye simu?
In psychology view tatizo unalo wewe, behaviour exaggeration is a cover of insecurities. Are you insecure?
Kwanini wanaku-block hebu tupe sababu, halafu mwanaume unalalamikaje kublockiwa kama unajimudu kiuchumi? si unasongambele tu?Nina hasira na wanaoblock kama mademu ujinga sana
Wewe nani kakupa cheo cha kupanga kiume ni vipi?Haiko kiume
Kwani hii cm tulichanga [emoji1] ukiwa snitch mzuri mzuri tuna kublockHuwa nashindwa kuelewa kabisa vijana wa kiume wenye tabia ya kublock!!
Mkipishana kidogo block!! Nahisigi ni wale dada zetu……
Privacy wanasema wenyewe mkuuHuwa nashindwa kuelewa kabisa vijana wa kiume wenye tabia ya kublock!!
Mkipishana kidogo block!! Nahisigi ni wale dada zetu……
Mtoto wa kiume unakasirika kuwa blocked?
Hawa watu wajima wajima kuwaelewa ni kazi sana.Nimelishangaa sana hili swala...??....kwamba anataka kupendwa na kila mtu...
Principle ni Ukishamzingua mtu,,hupaswi kumchagulia silaha..
Hujakasirishwa bado, tulia ivoivoHuwa nashindwa kuelewa kabisa vijana wa kiume wenye tabia ya kublock!!
Mkipishana kidogo block!! Nahisigi ni wale dada zetu…
Yani wanatia aibu ety na kenyewe kanajitapa nmemlamba block[emoji4]Huwa nashindwa kuelewa kabisa vijana wa kiume wenye tabia ya kublock!!
Mkipishana kidogo block!! Nahisigi ni wale dada zetu……
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa dea block ina nn kwan?Yani wanatia aibu ety na kenyewe kanajitapa nmemlamba block[emoji4]
[emoji1787][emoji1787]Me mwenyewe sijui hata [emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa dea block ina nn kwan?
Simu yetu, bando letu, namba yetu, We unatupangia nn Kuna chochote umechangia hapo, Tafuta hela upunguze mhaho kijana sio kulalamika lalamika Ukiwa na hela hawakublockHuwa nashindwa kuelewa kabisa vijana wa kiume wenye tabia ya kublock!!
Mkipishana kidogo block!! Nahisigi ni wale dada zetu……
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Me mwenyewe sijui hata [emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1]Kama wale mnaotuma mameseji ya kuforward utakuta dume zima kila siku linakutumia usiku mwema au asubuhi njema ni mwendo wa kuyapga block tu.
ndio wale kila siku wanakuuliza unafanya ishu gani...... dawa ni kuwapiga tofali tuNa Bado! Huu ndio Muda wa Kupunguza Malimbukeni na Masnitch wote Kwenye Phonebook Yangu,upo upo Tu Kwenye Phonebook ya Mtu kazi Ujue Yupo wapi anafanya nn upeleke Habari kwa Mabwana zako!