Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apana ni kama uvimbe flani, alaf sio mmoja wapo kama wa3 hivi.
Shukrani.
Ni ndui ya kuku unatakiwa kuwachanja haraka nenda maduka ya mifugo wanauza chanjo! Sasa hivi mtenge na umpe dawa ambazo utashauriwa na madokta wa mifugo na vitamini kwa wingi hauna tiba ni kuwahi uwachanje basi.
Kesha chelewa huo ugonjwa ukisha ingia basi hata ukipewa antibiotics hautasaidia kitu na wauzaji watakupa coz ni biashara lakini watakufa wote
Hapana haisambai sana. Na ambaye bado ajashikwa itafanya kazi i used to use it...!