Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Mbona unanicheka wakati nataka kuzamia nipate mlo kamili. (mbogamboga, matunda, juisi, chakula na vinywaji)[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unanicheka wakati nataka kuzamia nipate mlo kamili. (mbogamboga, matunda, juisi, chakula na vinywaji)[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tungempa nchi shughuli hizi zingekuwa ikulu kama awamu ya ile...
hizi zama za kazi tu... huwez kuona hivi vitu ikulu... yeye mwenyewe kaoa kwa mirinda na pepsi tu chuo
Nakwepa lawama za uzi bila picha.Naona ume ambatamisha album nzima [emoji23][emoji23].
Nakwepa lawama za uzi bila picha.asante kwa taarifa mpiga picha wetu wa jf maana si kwa mipicha hii
Naona ume ambatamisha album nzima [emoji23][emoji23].
Arusha MjiniNdoa na sherehe vimefanyikia nyumbani monduli?
Mbowe ni kwa nini hakuhudhuria??Nimemuona mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mzee Chizii!
MmmmmMzee Kikwete amekosekana
Naona maradhi na umri vinamtupa mkono. Ila Mwinyi yuko vizuri kama ana miaka 40 hivi.Mbona mzee wetu kafifia hivi. A.k.A yuda [emoji41]
Katuma muwakilishi yupo busy na shughuli za kichama.Mbowe ni kwa nini hakuhudhuria??
Maandaz na juicyRatiba ya chakula ikoje.
Mbowe yuko kamati ya vinywaji!Mbowe ni kwa nini hakuhudhuria??