Mtoto wa Mange Kimambi (13yrs) kuanza biashara kwa lazima ili kusevu pesa kwa ajili ya elimu ya juu

Mtoto wa Mange Kimambi (13yrs) kuanza biashara kwa lazima ili kusevu pesa kwa ajili ya elimu ya juu

Philemon, point yako nimeipata ni nzuri na inaeleweka BUT kumbuka huko ni uchagani huko na bongo mjini kwa hao wahindi etc Nimekaa ulaya miaka mingi sana sijaona mtoto wa miaka 13 kwenda kuwasaidia wazazi hizo kazi unazosema everyday.Ulaya wanavyothamini mtoto kuwa mtoto?? haiwezekani, tena nchi niliyokaa mimi wakikugundua unafanya hivyo unaweza funguliwa kesi na jamaa wa child protection.Jamaa wa child labour nao watakusakama hadi ukome ubishi....Anyway point yako naielewa, but tofautisha tu huko ni bongo na kule ni USA na hii dunia ya utandawazi mtoto anaweza akatengeneza pesa na akajifunza mengi sana mazuri at the same time akajifunza mengi machafu humu kwenye mitandao.Mwisho wa siku point yangu kuwa ilikuwa kusema Mange asipotoshe jamiii kuwa kwao wanazo sana wakati hali halisi inajieleza, aseme tu kuwa tunazitafuta kwa bidii zote na tunamshukuru mungu tunapatapata.Namna hiyo watu watajifunza na kupata moyo.Ila asubuhi kujifanya Oprah mchana unajifanya Bill Gates jioni unatangaza mtoto anauza pochi ili apate hela ya shule,wapi na wapi banaaa

Mbona ni kawaida sana kwa watoto wa ma celebrities kufanya either biashara au kufanya kazi. Will Smith ni actor mkubwa sana angalia watoto wake. Yule wa kiume, Jade akiw chini ya miaka 10 ameanza ku act. Alikuwa na ulazima gani kufanya kazi. Na yule wakike ameanza kuimba skiwa 13, anaingiza hela na wazazi wake pia wana hela.
Hapa wazazi waliangalia opportunity za watoto wao zitakazowasaidia ht wao wakiwa hawapo duniani.
David Beckham's family nao ni very rich na famous pia. Mtoto wao wa kwanza alianza kufanya kazi kwenye restaurant, na watu wengi walihoji, na wenyewe wakasema hata kama wazazi wana hela haimaanishi watoto wasifanye kazi kujitafutia future. Na watoto wao wengine wanashiriki u model.

Mifano ipo mingi sana ya watoto wa watu maarufu na wenye hela na wanafanya kazi na kuanzia miaka yoyote ile, ili mradi kuna opportunities kwao.

Ww unaeona cha ajabu Mange kumwanzishia biashara mwanae na unajinadi umekaa US hujaona kitu km hicho, itakuwa wazazi wao ni wauza sembe au viongozi mafisadi na nia yako Mange achukiwe ainekane kituko wakati ww ndio kituko.
 
Elimu ni expensive kila mtu anaelewa.Tatizo ni Mange kudai wao ni matajiri sana, sasa kwanini mtoto ahangaishwe? wenzangu na mie tungefanya inaeleweka hali zetu za kawaida.Kwanini tajiri amhangaishe mtoto at 13? Hilo ndio tatizo asipende kupotosha jamii kuwa wana uwezo sana huko USA na bongo urithi upo kibao, halafu anakuja kutangaza mtoto anauza pochi kusave hela za shule.Mweeee Huyu mtoto alitakiwa kwa sasa awe bsuy na hobby zake zingine na kungojea kuingia highschool.Sasa anahangaika kama mtoto wa mkulima, so tunarudi palepale hali halisi inajieleza.Kingine anajijua ana mabeef mengi sana na watu haswa mitandaoni imezagaa, kwani mtoto hawezi anza business kimyakimya,kwani lazima ulimwengu ujue kuwa ni ya binti yake? ndio mwanzo wa mtoto kuwa tagged na mapost ya matusi juu ya mamake, dharau kwa mama ianze.Akikutana zile post anazotukanwa yeye mtoto je? aibuuuu Mange,inama chini ufikiri sio kila kitu ni cha kuweka public,business inaweza kuendelea ikijulikana kama ni ya Mange, then pesa anawekewa mtoto na shughuli zote anafanya mtoto, but kutangaza ni kumexpose mtoto kwenye matatizo na wabaya wake mitandaoni,pili business hii inaonyesha HALI NI NGUMU KAMA ZA WENGINE WENGI TU
Mtoto wa Diddy pamoja na ile mihela ya baba ake (net worth $750 mil.), kakomaa mpaka kapata scholarship.

Think!
 
Kuna point pia mleta mada ametaka isema huyo mwanamake mange yeye alisema kuwa wana pesa ndefuuuu na maisha na fees za masomo ya watoto hakuna tabu.

Sasa yeye kusema ili mtoto ajilipie ada ndio huyu kaja.

Pia watoto wa matajiri hawakai kuteseka kusevu pesa za shule kama zipo tayari pembeni. Bali wanafunzwa kusaka pesa na kujijazia skills nyingi maishani. Hata mtoto akitaka kununua kitu au kufanya kitu anapenda sana unaweza mfunza jinsi ya kusaka na kutumia pesa. Kila mzazi na lwake

Ila ya kusema sana kivingine na baadae kusema haya ndio mwenzetu nae kama wengi inashangaza kweli

Kumbukeni mange wengi wanamsoma blogini kwa miaka mingi
 
Kuna point pia mleta mada ametaka isema huyo mwanamake mange yeye alisema kuwa wana pesa ndefuuuu na maisha na fees za masomo ya watoto hakuna tabu.

Sasa yeye kusema ili mtoto ajilipie ada ndio huyu kaja.

Pia watoto wa matajiri hawakai kuteseka kusevu pesa za shule kama zipo tayari pembeni. Bali wanafunzwa kusaka pesa na kujijazia skills nyingi maishani. Hata mtoto akitaka kununua kitu au kufanya kitu anapenda sana unaweza mfunza jinsi ya kusaka na kutumia pesa. Kila mzazi na lwake

Ila ya kusema sana kivingine na baadae kusema haya ndio mwenzetu nae kama wengi inashangaza kweli

Kumbukeni mange wengi wanamsoma blogini kwa miaka mingi

Naona unazunguka na majibu unayo. Hata km Mange ana hela, haimaanishi mtoto wake asifanye biashara km opportunity ipo.
Mbona Ridhwani Kikwete kagombea ubunge na baba yake ni Rais.
Nyie wanawake wa JF mna CHUKI BINAFSI
 
Hakuna chuki binafsi wala chuki shirikishwa hapa, huyu Mange alimtukama sana Linda kwa kusema kashindwa kumsomesha mtoto, Leila mtoto wa linda anafanya akazi club badala ya kwenda shule, mbaya zaidi akaenda mbali zaidi kwa kusema mtoto wa mwenzake changudoa, but Leila akamjibu very polite kuwa anafanya kazi ili apate hela na baadae lazima arudi shule, mange huyo huyo akaja mbia kuwa Linda anajifanya designer maarufu anashindwa kumlipia mtoto ada matusi kibao. Leo yeye mtoto wa tajiri mbona nae anamshirikisha mtoto kutafuta hela yeye anadai kwao matajiri hata akilala tu mamilioni ya hela yanaingia kwake why afanye sawa na Linda mtoto wa maskini babake fundi mafriji? Haiwezekani mtoto wa Mengi aingie mtaani kuuza magazeti ili aende shule na wa kwangu anae yuko mtaani kuuza sigara ili aende shule halafu watu wachukulie poa tu. Angekuwa mjanaja angetudanganya mwanae kaamua kufanya biasha for her own interest na si mama mtu kumpeleka mtoto kwenye biashara kwa ajili ya kutafuta ADA. Mange ni mtu wa kushangaza sana.
 
Tatito lipo maana yeye huwa anajitapa ni tajiri iweje asiwe na hela za college za mwanae tena in 4yrs from now?

Marekani huwezi kutoka high school halafu ukaenda moja kwa moja kwenye medical school.

Ni lazima usomee kwanza undergraduate degree (na uwe na high GPA) na most likely major yako itakuwa ni pre-medicine na baada ya hapo unafanya MCAT na ukifaulu ndo unatuma maombi kwenye chuo upendacho kwenda kusoma.

Kwa hiyo sidhani kama huyo dada anamaanisha ni miaka 4 kutoka sasa kuhusu hiyo medical school kama mwanae mwakani ndo anaanza high school.

Labda ni miaka 7 au nane toka sasa.
 
Nimekaa ulaya miaka mingi sana sijaona mtoto wa miaka 13 kwenda kuwasaidia wazazi hizo kazi unazosema everyday.

Say what? USA umekaa?

Mbona kila siku watu tunaona watoto wakiongozana na wazazi wao kwenye shughuli zao hususan wakati wa summer (na weekends kama shule ikiwa kwenye session) na kusaidia/ kujifunza shughuli.

Juzi tu hapa nimeenda kwenye convenience store nimekutana na kabinti kadogo tu kanajifunza namna ya kutumia cash register huku baba yake akikafundisha.

Najua huyo dada kuna watu hamumpendi lakini msiruhusu chuki zenu zighubike hadi busara zenu.

Semeni mengine yote ikiwemo hilo la utajiri na ada za shule lakini hili la kumfundisha mtoto biashara silo kabisa.
 
Kuna point pia mleta mada ametaka isema huyo mwanamake mange yeye alisema kuwa wana pesa ndefuuuu na maisha na fees za masomo ya watoto hakuna tabu.

Hiyo ni point iliyo valid. Nakubali hilo.

Pia watoto wa matajiri hawakai kuteseka kusevu pesa za shule kama zipo tayari pembeni. Bali wanafunzwa kusaka pesa na kujijazia skills nyingi maishani. Hata mtoto akitaka kununua kitu au kufanya kitu anapenda sana unaweza mfunza jinsi ya kusaka na kutumia pesa. Kila mzazi na lwake

Hivi mtu unawezaje kuwa tajiri bila na kuwa na nidhamu ya kutunza pesa zako? Usione watu ni matajiri tu na ukadhani ni watu wa kutumia pesa zao with reckless abandon.

Kumfunza mwanao jinsi ya kutengeneza pesa na kuzitunza kwa ajili ya kuja kufanyia mambo ya msingi (kama vile kulipia ada ya shule) ni jambo bora na lililo la msingi kabisa.

Sioni ubaya wowote ule katika hilo.
 
Hiyo ni point iliyo valid. Nakubali hilo.



Hivi mtu unawezaje kuwa tajiri bila na kuwa na nidhamu ya kutunza pesa zako? Usione watu ni matajiri tu na ukadhani ni watu wa kutumia pesa zao with reckless abandon.

Kumfunza mwanao jinsi ya kutengeneza pesa na kuzitunza kwa ajili ya kuja kufanyia mambo ya msingi (kama vile kulipia ada ya shule) ni jambo bora na lililo la msingi kabisa.

Sioni ubaya wowote ule katika hilo.

Sijapinga sio jambo zuri hata masikini anafanya hivyo kwa kidogo alichonacho wanapoamua.

Na ndio maana nimesema kila mzazi/wazazi wanaamua iweje esp wakitaka.
 
wewe mbuta nanga nawe zaa wa kwako,siyo kumwekea mipaka mtoto wa Mange
 
Jana nimeenda kwa doctor na alikuwa na Mtoto wake anamsaidia she is in college so acheni akili ndogo.its normal
 
watu wengine wanabisha tu cz wanamchukia the lady...kiuhalisia anaanza kumfundisha mwanae jinsi ya kufanya biashara na kusave, unawezakuta hyo hela atakayosave huyo mtoto atakuja tumia for matumizi instead of fees kma ilivyosemwa,hatujui sie.13 years anaanza kuuza bags btn th range of mostly 18-35$...we ulikuwa unafanya nn at tht age?..acheni hate, thts the difference kati ya Tz na US, hzi jobs ni nzuri kwa mtoto,being a nanny,waitress etc anaanza kuwa na akili ya kufanya kazi na kusave mapema, sio huku mtu yuko 30 bado yuko home na bank account inalia ila bata kila weekend.kha!
 
miaka13?????
njaa kali sana
hata mimi na umasikini uliokuwepo kwetu sikuanza mihangaiko kwa umri huo

Hahaaa njaa haina hodi tena inaonekana mambo yke hayaendi sawa......lile gheto lake utafikiria nyumba z police kilwa road
 
Yan sometime najihisi kama sio Mtz maana vingi sivijui,sasa huyu Mange nae ndio nani??
 
Mange Mange Mange,hope ideas za kujadili zimeisha.Mange ana msada gani kwa taifa hili?
 
Back
Top Bottom