Mtoto wa Mange Kimambi (13yrs) kuanza biashara kwa lazima ili kusevu pesa kwa ajili ya elimu ya juu

Mtoto wa Mange Kimambi (13yrs) kuanza biashara kwa lazima ili kusevu pesa kwa ajili ya elimu ya juu

Who is Mange Kimambi and why should I care?
Hiyo ni point iliyo valid. Nakubali hilo.



Hivi mtu unawezaje kuwa tajiri bila na kuwa na nidhamu ya kutunza pesa zako? Usione watu ni matajiri tu na ukadhani ni watu wa kutumia pesa zao with reckless abandon.

Kumfunza mwanao jinsi ya kutengeneza pesa na kuzitunza kwa ajili ya kuja kufanyia mambo ya msingi (kama vile kulipia ada ya shule) ni jambo bora na lililo la msingi kabisa.

Sioni ubaya wowote ule katika hilo.
Nyie Wamarekani wawili mbona mmepotea kwa Pomoja, hamuonkani humu, we miss you
 
Back
Top Bottom