KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Watu wenye akili nyingi sana za darasani mara nyingi maisha huwa yanawasumbua.
Kweli kaka mimi naangaika mpaka kila mtu kwenye ukoo wetu ananishangaa i used kuwa kipanga ila nilikuja kukwama after university mimi kwa issue za shule ni mmbaya shida life ya kawaida inanitesa sana! Huwa nawaza kwamba nilitakiwa kufanikiwa through skuli sasa my family poverty ilinifanya ni lost my dreams!