Mtoto wa miaka 8 aliepotea Kibaha na kukutwa ametupwa shimoni na amekufa: Ni sahihi Polisi kusema usubiri masaa 24 kabla ya kuripoti kupotea mtoto?

polisi wa tz wanataka matokeo ya kesi kwanza sio kesi.unakumbuka yule marehemu aliyeshinda na polisi wiki zote wakati ndugu wakitafuta kijana wao.baada ya kuibuliwa na wakina malisa ndio wanajitokeza polisi kuleta mwili
 
Watapokeaje taarifa wakati sheria ipo wazi kuwa mtu akipotea ili kufungua taarifa lazima yapite masaa 24?
 
Tatizo ni kwamba Watanzania huwa hatuna msukumo wa kutakakubadilisha mambo kwa pamoja. Kila tatizo linalotokea unaona kama wewe halikuhusu au halitatokea kwako. Mtu atasoma kwamba kuna mtoto wa miaka 8 aliripotiwa kupotea Polisi wakasema subiri masaa 24, unaona sawa tu, hadi siku ukipotelewa mtoto ndio utakapojua ubaya wa utaratibu kama huo
 
Hawa polisi wanachofatilia kesi yenye pesa km kukamata mwizi au mtu aliyekutukana.
Apumzike kwa amani mtoto pole kwa familia.
Hapo kibaha sijui km kuna usalama, hata kuna uzi uliwahi kuletwa mtu kauwawa na polisi wamekaa kimya hawafatilii
 
Kupokea tu taarifa mizengwe. Kweli kunaweza kuwa na utafutwaji wa aliyepotea?
 
Inaumiza sana
Mwenyezimungu atuepushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…