ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Naombeni kujua miguu ya mtoto mdogo Kama huyo inagusaje pads za break na acceleration
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kajifunze mitandaoni jinsi wajerumani wakiangaika na technology ya kuendesha gari hata kama umelala au una kikao au unasoma au una chati...Naombeni kujua miguu ya mtoto mdogo Kama huyo inagusaje pads za break na acceleration
pambana akiweza baiskeli umnunulie ferrari, porsche hata bugatti... hachana na matoyota...Ulaya Ulaya tu kweli... wakati mimi mwanangu wa 4 yrs ndo anajifunza kuendesha baiskeli, Uholanzi kuna kitoto kinanyosha goti vizuri, kanakamatwa na polisi kanajieleza vizuri hadi kanapewa chokoleti na kurudishwa nyumbani salama salimini bin kuhakikishiwa usalama!
Yani nimecheka sana[emoji13][emoji13][emoji13]Angekuwa Tanzania angeswekwa ndani na viboko juu Kwa kuhatarisha usalama wake na wawanyonge ambao ni machinga barabarani.
Huo mchezo umesababisha hadi leo nina kovu😅
Acha tu😆Kumbe ulikuwa mtundu km mwanaume enzi hizo😅
Unachosema ndicho kilivyo.Hata kama uwezo hawana kivile wangeomba tu wazuge zuge kingeeleweka huko mbeleni wangeanza changia hata kidogo,siyo kumtengenezea mtoto mazingira ya kuogopa shule.