Mtoto wa miaka minne aiba gari la mama yake aingia nalo mtaani

Mtoto wa miaka minne aiba gari la mama yake aingia nalo mtaani

Naombeni kujua miguu ya mtoto mdogo Kama huyo inagusaje pads za break na acceleration
 
Naombeni kujua miguu ya mtoto mdogo Kama huyo inagusaje pads za break na acceleration
nenda kajifunze mitandaoni jinsi wajerumani wakiangaika na technology ya kuendesha gari hata kama umelala au una kikao au unasoma au una chati...

dunia imechangamka, wewe endelea kuangaika na wajapani
 
Ulaya Ulaya tu kweli... wakati mimi mwanangu wa 4 yrs ndo anajifunza kuendesha baiskeli, Uholanzi kuna kitoto kinanyosha goti vizuri, kanakamatwa na polisi kanajieleza vizuri hadi kanapewa chokoleti na kurudishwa nyumbani salama salimini bin kuhakikishiwa usalama!
pambana akiweza baiskeli umnunulie ferrari, porsche hata bugatti... hachana na matoyota...
 
Hata kama uwezo hawana kivile wangeomba tu wazuge zuge kingeeleweka huko mbeleni wangeanza changia hata kidogo,siyo kumtengenezea mtoto mazingira ya kuogopa shule.
Unachosema ndicho kilivyo.

Even though hamna bei kubwa na wengi wanasoma tu.
 
Back
Top Bottom