nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Habari za hapa jf?
Samahani naomba kujua kama ni tatizo au ni kawaida kwa mtoto wa umri wa miezi 3.5 kunyonya kwa kubeep. Yaani ananyonya kidogo sana alafu anakua hataki tena.
Bado hajaanza kula chochote zaidi ya kunyonya maziwa ya mama yake. Hii hali ni wiki ya pili sasa.
Wiki moja iliyopita akiakua na tabia hiyo, baada ya siku tatu akawa ananyonya kama kawaida. Leo hii ameanza tena
Samahani naomba kujua kama ni tatizo au ni kawaida kwa mtoto wa umri wa miezi 3.5 kunyonya kwa kubeep. Yaani ananyonya kidogo sana alafu anakua hataki tena.
Bado hajaanza kula chochote zaidi ya kunyonya maziwa ya mama yake. Hii hali ni wiki ya pili sasa.
Wiki moja iliyopita akiakua na tabia hiyo, baada ya siku tatu akawa ananyonya kama kawaida. Leo hii ameanza tena