Nafanya yote kwa maelekezo ya mama yake lakini hakuna lolote ni vile vile, au ni kwa sabab anakaa mda mwingi sana na mama yake?
Yaani...we acha tu.mama ana harufu ya kipekee ambayo mtoto anaijua
Heeee π± miezi minne una tia???π±π±Yaani...we acha tu.
Kama amejifungua kama miezi minne hivi halafu umkute jioni hana make up wala hajajipaka mafuta yoyote ana ile harufu nechoroo. Sasa akupe kimoja cha wiziwizi ili dogo asije akaamka. Utaipenda ndoa.
Nilisema. " ki wizi wizi"Heeee π± miezi minne una tia???π±π±
Salaaaleeee. Mi napenda akiwa ana mimba bhana. Joto linakua kama furnace huko kwa chini. Ila aki zaa sijui kidactari imekaaje mimi najipa miezi ya kutosha kabla ya kula mzigo tena.Nilisema. " ki wizi wizi"
Joto linakua 100%
Halafu na kule kula mitori mitori na misupu ya kuku kunakua kumemfanya awe tipwa tipwa fulani. We acha tu
ππππππππmama Ake pia hua anamnyonyesha vip weweDaaah,haya bana[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu watoto wadogo wanajua mambo tofauti na tunavyohisi.
Kama alikuona unamzibua masikio lazima akuchukie maana anamuona mama yake ni dhahabu fulani haiwezi kugaragazwa ba yoyote ispokua yeye.
Na kama umefuata ujinga wa wahuni kwamba kumnyonya mzazi mwenzio wakati ananyonyesha ni Dili ndio utakua umeharibu kabisa.
Kuwa na subira atakuzoea tu ila kila ukirudi uje na kijizawadi AMA kwa mamake au kwa mtoto.
Mwisho kabisa nikupongeze kwa kupata mrithi. Sasa jiandae na school fees for the next 20 years. Mwisho kabisa. Usije ukamgusa huyo mtoto kama umetoka kwa mchepuko bila kubadili nguo na kuoga. Harufu ya mchepuko ni sumu ya watoto nambari one.
Mkuu umeanza kuhisi sio wako nini..???? nadhani ndio Logic ya swali lako ilipo
Usiwe na wasi, ni kawaida tu hio atakaa sawa kuwa nae karibu... ila hilo hapo Juu usilipuuze pia hehehhehehe
Kapime DNA kama kweli ni wa kwako, labda mizimu ya baba yake imegoma usimshike mtoto wao!!!Au sababu ya hili ni nini, maana linaninyima raha sana hata siwez kufurah na mtoto wangu.
Achana nako kanajifanya kajeuri hakamjui baba yake kama vipi hama tu nanyumbani muache mkeo Na mtoto katakua ni damu ya jirani yako hakoHapo mimi nazungumzia kumbeba pale ambapo mama ake yuko busy na shughuli zingine pindi nikirud home toka mihangaikoni