gileun
Member
- Nov 8, 2017
- 85
- 74
Habari!
Nina mtoto wa kiume ana miezi minne sasa. Tatizo ni kwamba huwa analia sana nikimshika/nikimbeba, lakini akishikwa au kubebwa na mama yake ananyamaza na mwisho wa siku anakua kawaida tu. Kuna aliyewahi kupitia hili, suluhu ilikua nini? Au sababu ya hili ni nini, maana linaninyima raha sana hata siwez kufurah na mtoto wangu.
Nina mtoto wa kiume ana miezi minne sasa. Tatizo ni kwamba huwa analia sana nikimshika/nikimbeba, lakini akishikwa au kubebwa na mama yake ananyamaza na mwisho wa siku anakua kawaida tu. Kuna aliyewahi kupitia hili, suluhu ilikua nini? Au sababu ya hili ni nini, maana linaninyima raha sana hata siwez kufurah na mtoto wangu.