Wakuchanja
Member
- Oct 12, 2017
- 82
- 54
Habarini wana Jf
Nime bahatika kupata mtoto wakiume ametimiza miezi miwili sasa...tatizo nikwamba hapata choo leo ni siku ya sita
Je tatizo ni nini au kuna njia yoyote yakumsaidia apate choo?
Nime bahatika kupata mtoto wakiume ametimiza miezi miwili sasa...tatizo nikwamba hapata choo leo ni siku ya sita
Je tatizo ni nini au kuna njia yoyote yakumsaidia apate choo?