Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True unapata A kisha unarudi kuendesha bodaboda au mama lisheHuyu si ndio huwa anasema elimu haifai?
Nakazia, mwanasiasa sio wa kuaminiwa awe mlemavu, mwanamke au hata mwanasiasa mlemavu wa akili sio wa kuaminiwaHuyu si ndio huwa anasema elimu haifai?
Sijui ulitaka akasomeshee wapi wakati ndiyo tuliyo nayo? BTW: Alikuwa anazungumzia wasomi wetu, siyo elimu kama elimu. Hapo upo?Huyu si ndio huwa anasema elimu haifai?
Mbona huwa making hayaandikwi imekuwaje Hilo hayo matokeo kuandikwa majinaWakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
matokeo ya kidato cha pili yaandikwa majina mkuuMbona huwa making hayaandikwi imekuwaje Hilo hayo matokeo kuandikwa majina
Baba yake aliwahi kuwatukana wenye PhD kuwa hawana mchango wowote ndani ya bunge.Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Siku hizi anaitwa Dr Msukuma KashekuHongera kwa Mheshimiwa Mbunge na mfanyabiashara Joseph Kasheku Msukuma
Anasema kuwa "sasa nimepata PhD nimekuwa msomi hivyo nitakuwa nahoji kisomi na wasomi wenzangu|" sema huwa namkubali sana, alivyo yeye kuna somo kubwa kwa sie tusienda shule kuamini kuwa unaweza fika level kubwa pasina hata kwenda shuleBaba kapata PhD na mtoto kapata A zote, karithi akili za baba.
Shule gani anasoma huyo Mtoto wa Msukuma?Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Bob wangwe anadai kuwa hata hizo shule za serikali zianze kutengwa kijinsia inaweza kupush elimu, shule nyingi za serikali zenye ufaulu hafifu ni za mchanganyikoHapo ndio akili zitukae sawa wanaopigia dau elimu bure watoto wao wako kwenye shule za gharama.kazi kwako je elimu bure Ni elimu Bora au Ni Bora elimu maskini wenzangu tutafute pesa wanasiasa tuwaache na ngonjera zao ili angalau nasi wale watoto wetu wa kayumba tuwape walimu angalau sh.200 ya remedial jioni watoto waongezewe maarifa