Mtoto wa Msukuma apata 'A' zote kwenye matokeo ya kidato cha pili

Mtoto wa Msukuma apata 'A' zote kwenye matokeo ya kidato cha pili

Kama mbunge kweli anatetea wanyonge,na ameona ni vyema kumpeleka mtoto wake shule yenye mkondo wa kiingereza(English medium school),basi ni vyema akapeleka muswada binafsi bungeni "Serikali ibadilishe mfumo wa elimu ili Watanzania waweze kunufaika na shule kuwa na michepuo ya kiingereza",na aombe kujua ni lini Serikali itafanya utafiti na tathimini ya namna ya kubadili mfumo wetu ili nchi iwe na vijana wenye kuweza kushindana kimataifa katika kutafuta maisha na fursa katika nchi za mataifa mengine.
naungana na hoja yako mkuu
 
Wanapelekeana moto hovyo,uangalizi ni mdogo tofauti na shule za gharama.
hata hizo za bweni ndio hali ni mbaya, walimu wanaacha mabaya yaendelee kutendeka kwasababu hamna motisha yoyote ile.Shule kama St Fransis, walimu hapo wanajua fika kuna bonus zao mwezi huu kwa kufaulisha vyema
 
Nikajua Mapera Makavu Secondary School, elimu bureee, na bure kwerikweriii
Mapera Makavu hakuna motivation kwa walimu ndio maana wamejichokea, wao kila siku utasikia mkurugenzi amzibua vibao mwalimu mkuu , mara mkuu wa wilaya ampiga viboko mkuu wa shule hali inayowafanya wajisikie wanyonge
 
nimesoma shule za mchanganyiko, wengi wanachelewa kupevuka na kujua nini kilichowapeleka kule, wengi wanawaza wakimaliza wajiunge na jeshi tuu.Halafu wengi wao wanapoteza muda kufanya mambo ya kuonekana wao ni wajanja kwa wanawake,nawazungumzia vijana wa kiume
Sijakataa hilo, ni kweli shule za jinsia 1 zina faida ktk kukuza ufaulu, ila pia kumbuka hasara ya mambo ya ujinsia. Nadhan umenielewa.
 
Wasomi wengi wasiokua na taaluma..
Ajira ziko wapi?
Kwani ilani ya chama 2020-2025 si iisema itazalisha ajira milioni 8? pia mkuu kupata elimu sio ndio kupata kazi/ajira, "purpose of education is to replace an empty mind with an open one"
 
JamiiForums686279162.jpg
 
Back
Top Bottom