Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
- Thread starter
-
- #41
naungana na hoja yako mkuuKama mbunge kweli anatetea wanyonge,na ameona ni vyema kumpeleka mtoto wake shule yenye mkondo wa kiingereza(English medium school),basi ni vyema akapeleka muswada binafsi bungeni "Serikali ibadilishe mfumo wa elimu ili Watanzania waweze kunufaika na shule kuwa na michepuo ya kiingereza",na aombe kujua ni lini Serikali itafanya utafiti na tathimini ya namna ya kubadili mfumo wetu ili nchi iwe na vijana wenye kuweza kushindana kimataifa katika kutafuta maisha na fursa katika nchi za mataifa mengine.
anaangaliwa mwenye jina mkuu, mtoto wangu na wa mtu maarufu wakisimama pamoja atakayeonekana zaidi ni wa mtu maarufu.Ndio principle ya maishaKwanini? hao wengine sijaona mtu akiwapongeza wakati wote wanastahili hizo pongezi.
Wanapelekeana moto hovyo,uangalizi ni mdogo tofauti na shule za gharama.Bob wangwe anadai kuwa hata hizo shule za serikali zianze kutengwa kijinsia inaweza kupush elimu, shule nyingi za serikali zenye ufaulu hafifu ni za mchanganyiko
Wanapelekeana moto hovyo,uangalizi ni mdogo tofauti na shule za gharama.Bob wangwe anadai kuwa hata hizo shule za serikali zianze kutengwa kijinsia inaweza kupush elimu, shule nyingi za serikali zenye ufaulu hafifu ni za mchanganyiko
Nikajua Mapera Makavu Secondary School, elimu bureee, na bure kwerikweriiiSt Frasis Girls Mbeya
hata hizo za bweni ndio hali ni mbaya, walimu wanaacha mabaya yaendelee kutendeka kwasababu hamna motisha yoyote ile.Shule kama St Fransis, walimu hapo wanajua fika kuna bonus zao mwezi huu kwa kufaulisha vyemaWanapelekeana moto hovyo,uangalizi ni mdogo tofauti na shule za gharama.
Mapera Makavu hakuna motivation kwa walimu ndio maana wamejichokea, wao kila siku utasikia mkurugenzi amzibua vibao mwalimu mkuu , mara mkuu wa wilaya ampiga viboko mkuu wa shule hali inayowafanya wajisikie wanyongeNikajua Mapera Makavu Secondary School, elimu bureee, na bure kwerikweriii
Wasomi wengi wasiokua na taaluma..Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Na hii comment ni kutoka kwa Dr AkiliBaba kapata PhD na mtoto kapata A zote, karithi akili za baba.
Ameomba effect ya kuwa kilaza hataki kuwa hewa kichwani kama baba yake.Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Sijakataa hilo, ni kweli shule za jinsia 1 zina faida ktk kukuza ufaulu, ila pia kumbuka hasara ya mambo ya ujinsia. Nadhan umenielewa.nimesoma shule za mchanganyiko, wengi wanachelewa kupevuka na kujua nini kilichowapeleka kule, wengi wanawaza wakimaliza wajiunge na jeshi tuu.Halafu wengi wao wanapoteza muda kufanya mambo ya kuonekana wao ni wajanja kwa wanawake,nawazungumzia vijana wa kiume
Kwa hyo tanzania nzima umemuona hyu tu, hii nchi inahitaji overhall kwa ajil ya watu kama nyinyi aiseeWakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Kwani ilani ya chama 2020-2025 si iisema itazalisha ajira milioni 8? pia mkuu kupata elimu sio ndio kupata kazi/ajira, "purpose of education is to replace an empty mind with an open one"Wasomi wengi wasiokua na taaluma..
Ajira ziko wapi?
ameangaliwa mtoto wa mtu maarufu, pia punguza dharauKwa hyo tanzania nzima umemuona hyu tu, hii nchi inahitaji overhall kwa ajil ya watu kama nyinyi aisee
Kwa sasa ni msomi mzamivu, ana PhD na anautaka Uspika wa Bonge la JMTHuyu si ndio huwa anasema elimu haifai?
Ana umaarufu upi, nenda katambike chato huko kwa baba yenu ambaye hamuamini kama keshakufa.ameangaliwa mtoto wa mtu maarufu, pia punguza dharau
St Francis Girls Secondary SchoolMbona hao wote wa5 Wana A tupu, wote pointing 7..
NI shule gani hiyo?
Anasoma shule gani kwanza
we bwa mdogo unaoonekana una matatizo makubwa sana.Anyway nimekusamehe.Ana umaarufu upi, nenda katambike chato huko kwa baba yenu ambaye hamuamini kama keshakufa.