The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Alikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tuHuyo Muna sijui, anafanya shughuli gani? ndo kwanza namsikia...
Duuuuuuuuhhhhhh,kumbe mtu anaweza kuwa maarufu kwa kuiba chupi?Alikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Ndo hivyoDuuuuuuuuhhhhhh,kumbe mtu anaweza kuwa maarufu kwa kuiba chupi?
bado wanahamasisha michango tu bila kusema anaumwa niniIngia kwenye page ya Zamaradi Mketema kuna mchango kule anapitisha hivyo unaweza kuchangia kile ulichoguswa na kujua mawili matatu
Tanzania watu wana upendo sana,mnachangia huduma za matibabu kwa yoyote yulebado wanahamasisha michango tu bila kusema anaumwa nini
alikua mbeba pochi wa wemaMuna ndiyo nani?
Ya Wema lakini, ukiiba ya jirani haina ishu.Duuuuuuuuhhhhhh,kumbe mtu anaweza kuwa maarufu kwa kuiba chupi?
Tena michango kwa hospitali binafsi za gharama bila kupitia hospitali za rufaa ama za mikoaTanzania watu wana upendo sana,mnachangia huduma za matibabu kwa yoyote yule
1.wastara
2.Mzee majuto
Na sasa huyu mtoto, Mungu ibariki Tanzania, mtoto apate nafuu na apone kabisa
Alikua muigizaji.. Mtu wa kuandaa matamasha..Dada wa hiyari wa Elizabeth Michael.. Rafiki wa wema n muuza ngada mzuri tu kabla hajaokokaAlikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Ni kama amepararaizi hivi yani miguu haina uhusiano na sehemu za juubado wanahamasisha michango tu bila kusema anaumwa nini