The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Toka jana na leo asubuhi hizi taarifa zimezagaa sana. Tunambiwa mtoto anaumwa yupo Nairobi na kwa namna moja au nyingine nimeguswa ila mpaka sasa sijafahamu huyu mtoto anasumbuliwa na nini.
Mwenye kufahamu tafadhali atujuze
Mwenye kufahamu tafadhali atujuze