D
Deleted member 485868
Guest
Ni kama amepararaizi hivi yani miguu haina uhusiano na sehemu za juubado wanahamasisha michango tu bila kusema anaumwa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama amepararaizi hivi yani miguu haina uhusiano na sehemu za juubado wanahamasisha michango tu bila kusema anaumwa nini
Hapa ndipo naipenda jf tutakujua tuAlikua muigizaji.. Mtu wa kuandaa matamasha..Dada wa hiyari wa Elizabeth Michael.. Rafiki wa wema n muuza ngada mzuri tu kabla hajaokoka
Serikali si inajua inatumbuliwaHapa ndipo naipenda jf tutakujua tu
Kwenye uuzaji wa ngada hapo tunashukur kumjua vizur tuwape hongera waanzilishi wa huu mtandao nashangaa serikali inataka kuufunga wakat ni chanzo kizur cha habar.
Hahahhaa hatari sanaSerikali si inajua inatumbuliwa
Itakua hawawekagi akibaHata mi nashangaaa vile hawasemi anachoumwa kabisa,,,
Km alikua Muuza ngada Leo anachangiwa si naskia wanakuaga na pesa chafu au ndo hawawekagi akiba
HahahaaaAlikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Duh!!!Alikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Hivi ndio huyu alikuwa anasimamia wasanii akiwa kama manager? Kuna mwanamuzki fulani hivi wa singeli,Nilimuona analalamika EATV kuwa anajitoa kusimamiwa na huyo mdada kwa kuwa anambania penzi yeye mtu mzima huku akiwatunukia watoto wadogo kama dogo janja na yule mwingine aliyeimba bongo bahati mbayaAlikua muigizaji.. Mtu wa kuandaa matamasha..Dada wa hiyari wa Elizabeth Michael.. Rafiki wa wema n muuza ngada mzuri tu kabla hajaokoka
Hamnaalikua mbeba pochi wa wema
shusha nondoMuna alikuwa muigizaji wa tamthilia za Itv na kina mzee Masinde na wengineo kipindi hicho cha juma
Alipoacha alipotea kwenye ulimwengu wa waigizaji lkn aliibuka paaaaap akiwa anamkwanja mrefu na kuanza kugawa dola 100 kwa kila anayekubali kuchora tatoo ya jina lake
Mtoto wake inasemekana anaumwa kichwa sana
Japo mwanzo aliugua mguu ktk mazingira ya ajabu mpk kutaka kupelekea akatwe mguu mpk Muna akaamua kuokoka na ghafula akapona pia ghafula
Evil eye is real, huwa tunakumbushwa tuwe makini na kile tunachoshare kenye social media, lakini si kila mja ni msikivu, We mwanao unamvisha vitu vya thamani kisha wamweka kwa mtandao, anaemtazama upande wa pili si mtoto wake tu bali yeye mwenywe hana hivyo anavyovyiona, people become jelousDuh hope atapona. Naombea apone pia muna ajifunze kumuweka mwanae mbali na mitandao. Sio wote wanaopenda mafanikio ya wenzao.
Tena Baba mtoto anakula raha tu na TundaTanzania watu wana upendo sana,mnachangia huduma za matibabu kwa yoyote yule
1.wastara
2.Mzee majuto
Na sasa huyu mtoto, Mungu ibariki Tanzania, mtoto apate nafuu na apone kabisa
Huyo Munna (anayedaiwa ni Celebrity) anakosa kadi ya bima ya afya ya ku-cover matibabu Nairobi? Sembe kumbe hailipi.Tena michango kwa hospitali binafsi za gharama bila kupitia hospitali za rufaa ama za mikoa
Nashindwa kuchangia nabaki kusoma tu,maana Casto namjua vizuri mno yaani mno,ni mshikaji Wangu sana bila acha nibaki msomajiTena Baba mtoto anakula raha tu na Tunda
Asee ,nadhani wa bongo wengi BIMA ni tatizoHuyo Munna (anayedaiwa ni Celebrity) anakosa kadi ya bima ya afya ya ku-cover matibabu Nairobi? Sembe kumbe hailipi.
**apige mnada ile midhahabu na migari anayopigia picha.