JF idumu....yani wewe ulieandika hapa unaweza ukawa ndo hao akina lulu...au the closest friend ...Alikua muigizaji.. Mtu wa kuandaa matamasha..Dada wa hiyari wa Elizabeth Michael.. Rafiki wa wema n muuza ngada mzuri tu kabla hajaokoka
Toka jana na leo asubuhi hizi taarifa zimezagaa sana. Tunambiwa mtoto anaumwa yupo Nairobi na kwa namna moja au nyingine nimeguswa ila mpaka sasa sijafahamu huyu mtoto anasumbuliwa na nini.
Mwenye kufahamu tafadhali atujuze
Tangu jana yani kila kona
. halafu hawasemi anaumwa nini
Wanasema figo
Insta zimejaa picha za misherehe ya gharama sijui birthday sijui nn ila Leo hii tunapeana akaunti tuchangie matibabu as if na sisi tukiumwa anatuchangiaga. Tusichoshane
Nitawadharau sana wale wote mtakaochangia chochote Kitu. Na ninavyojua Kiimani ukimsaidia au kumchangia Mtu mwenye dhambi za aina yake huyo Dada ni kutaka tu kujitafutia laana ya Milele kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Nashauri tu hizo Hela zote zikishakusanywa twendeni Kariakoo tukanunua Mahitaji muhimu kisha tugawe katika Vituo vyote vya Yatima nchini Tanzania.
Mtakaonichukia kwa hiki nilichoandika poa tu ila GENTAMYCINE sipendi Unafiki na kulea Ujinga / Ungumbaru kama siyo Upumbavu / Upopoma. Watu kila kukicha wanaturingishia maisha yao ya Kifahari huku wakitudharau na kutucheka Sisi Masikini / Makapuku halafu leo tena tuliodharauliwa tunahimizwa tuchangie.
Kuna muda huwa napata taabu kama siyo shida sana kuwaelewa Waswahili a.k.a Watanzania hadi kuwaonea huruma.
Hahaaha..Muna alikuwa muigizaji wa tamthilia za Itv na kina mzee Masinde na wengineo kipindi hicho cha juma
Alipoacha alipotea kwenye ulimwengu wa waigizaji lkn aliibuka paaaaap akiwa anamkwanja mrefu na kuanza kugawa dola 100 kwa kila anayekubali kuchora tatoo ya jina lake
Mtoto wake inasemekana anaumwa kichwa sana
Japo mwanzo aliugua mguu ktk mazingira ya ajabu mpk kutaka kupelekea akatwe mguu mpk Muna akaamua kuokoka na ghafula akapona pia ghafula
Tanzania watu wana upendo sana,mnachangia huduma za matibabu kwa yoyote yule
1.wastara
2.Mzee majuto
Na sasa huyu mtoto, Mungu ibariki Tanzania, mtoto apate nafuu na apone kabisa
Muna wadau wanasema alikuwa muuza ngada ila sasa ameokoka anayeumwa ni mwanaeKwani huyo Muna Love nae kwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na Ugonjwa gani labda? Tuanzie hapa Kwanza.
Watachangiana wao kwa waoInsta zimejaa picha za misherehe ya gharama sijui birthday sijui nn ila Leo hii tunapeana akaunti tuchangie matibabu as if na sisi tukiumwa anatuchangiaga. Tusichoshane
Maagano na laana za walioathirika na ngada huenda yanamgeuka sasaMuna wadau wanasema alikuwa muuza ngada ila sasa ameokoka anayeumwa ni mwanae
Mimi msanii sitoi hata mia yangu ntasaidia wengine ila sio hao wasanii, Mtu leo anajinadi anaingiza milioni kwa siku, kesho kategua Mgongo anakuja kulia lia hela akatibiwe huu ni UjuhaInsta zimejaa picha za misherehe ya gharama sijui birthday sijui nn ila Leo hii tunapeana akaunti tuchangie matibabu as if na sisi tukiumwa anatuchangiaga. Tusichoshane
Duh aiseeAlikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
TruePopote ulipo tembelea hospitali ya mkoa wako ukawaone wahitaji halisi wasiojua lini na nini ni hatima yao, wasiomudu hata gharama ya panadol tu! Wanaoshindwa kumudu gharama ndogo tu za hospitali chakavu za serikali, wasiokuwa na uhakika wa milo mitatu kwa siku. Kampeni hizi za kuchangia wahitaji ningezielewa sana kama zingewalenga wahitaji halisi na si hawa wanaotutambia kila siku mitandaoni kwa magari, majumba, mavazi, cheni na hereni za thamani.
Japokuwa kutoa ni hiyari lakini ni vema tukakumbushana:- Wapo watu wenye uhitaji wa kweli wa huo msaada wako tafadhali usiwapite maana hao ndiyo waliobeba baraka zako.