Samahani Mkuu unaweza kunikumbusha yule aliyepiga Gitaa katika ule Wimbo wa Kanda Bongoman uitwao INDE MONIE?[/QUOTE
Dally Kimoko???
Kwani huyo Muna Love nae kwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na Ugonjwa gani labda? Tuanzie hapa Kwanza.
Apumzike kwa amani..When you were born, you cried and the world rejoiced. Live your life in a manner so that when you die the world cries and you rejoice.. Rest In Peace Patrick
nomaaAlikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
😀😀😀😀😀Duuuuuuuuhhhhhh,kumbe mtu anaweza kuwa maarufu kwa kuiba chupi?
Duuuhhhh unafaa kuwa mtangazajiAlikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Alikua shoga ake wema sepetu.....akamwibia chupi yake akapeleka kwa mganga wakagombana ...na umaarufu ukaongezeka...anayejua zaidi ataongezea me najua hivyo tu
Ukiniuliza marehem alikua anasunbuliwa na nn ntakujbu Naona HIVFrom Mother to Child in collaboration with the unknown ' Viruses '.
Ukiniuliza marehem alikua anasunbuliwa na nn ntakujbu Naona HIV
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe
Nakuelewa sana mkuu since day one, haujuag kuyumbisha maneno,Rejea ' post ' yangu # 46 Mkuu.
Nakuelewa sana mkuu since day one, haujuag kuyumbisha maneno,
Haujuag kuish unafik, sasa ao wanaoluka luka kama wacheza visingeri waache waendelee tu