Mtoto wa Muna Love anasumbuliwa na nini?

Nawaangalia watoto wa Mzee wa " I can, I must" na Marehem napata funzo kubwa sana.
 
Nikiviangalia vile twinz navionea huruma sana, najua kitakacho wapata, kama kilicho mfika kaka yao.........ila mimi acha niendelee kuwa maskini ila nizeeke na watoto wangu wote niliowaleta

Ulimuelewa uliye mquote kweli au umetoa hitimisho lako tu? sidhani kama ndicho alichotaka kukisema ndugu joshua hapo juu.....
 
umenena mkuu.
 
Vwanja vya Leaders Club ndo iwe "Neutral Ground" vinginevyo wataparurana #teamBiNUNGU# vs #teamKOMU#
 
Nikiviangalia vile twinz navionea huruma sana, najua kitakacho wapata, kama kilicho mfika kaka yao.........ila mimi acha niendelee kuwa maskini ila nizeeke na watoto wangu wote niliowaleta
Mmmh huku mbali umefika sasa mbona vile vitwinz vina unasaba sana na mzee I can?hebu kavichunguze tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…