Mtoto wa Museveni ana ajenda gani ya siri dhidi ya nchi za EAC?

Mtoto wa Museveni ana ajenda gani ya siri dhidi ya nchi za EAC?

Kipi kibaya au kipya hapo amekisema huyo mtoto wa Museven?
Suala la nchi za Afrika kutakiwa kuungana ndio wazo lililokuwepo tangu miaka ya 1960s tena likipiganiwa na kina Nyerere, Kwame Nkuruma, Nelson Mandela, Kenneth Kaunda, Patrice Lumumba. Kipi cha ajabu?

Lengo la Afrika kuwa nchi moja lilipoletwa upya miaka ya 2000s na rais wa Libya (Ghadaf) mbona wengi tuliliona la kishujaa. Kwanini leo likisemwa na mtoto wa Museven tunaona ni ukichaa?

Lengo la uwepo wa Jumuiya ya Afrika mashariki kihistoria lilikuwa ni kuja na nchi mmoja katika ukanda huu. Nini kipya au Kipi cha ajabu?

Kuna ubaya gani kwa yeye kutoa maoni yake kuhusu baba yake kufaa kuwa rais wa Afrika mashariki ikiwa nchi za ukanda huu zikiungana? Nyinyi mnataka Samia, Kagame, Ruto au nani aje awe rais?

You make a good point ila huyu dogo akili yake inadundadunda ni wa kumpuuza tu.
 
Huyu atakuja kumpindua mzee wake.
Baba yake wamuongezee ulinzi aweza ya baba yake

Kichwa chake kimeshapata moto.

Mzee akae naye mbali. Kana ana silaha kama pistol anyang'anywe na ikiwezekana baba yake ampeleke ofisi ya ubalozi mbali kama Amerika ya kusini au Ulaya au mashariki ya mbali bangi zake akavutie huko. Ni kama anavuta bangi huyo
 
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo October 19,2022 amerejea tena kauli yake ya kuwahamiza Vijana wa Afrika Mashariki kuunga mkono hoja yake ya kutaka Nchi za Afrika Mashariki ziungane na kuwa Taifa moja.

“Vijana wenzangu wa Afrika, nikiwa kama Kiongozi wenu ambaye mmenichagua wenyewe, nawahimiza kuuona umuhimu wa kushinikiza kwa haraka muungano wa Nchi za Afrika Mashariki, huu ni mpango wetu mdogo wa kisiasa, mipango mingine nitawapa mwongozo”

Itakumbukwa October 04,2022 Muhoozi alisema ameongea na Baba yake Rais Museveni kuhusu mpango wa kuifanya Afrika Mashariki kuungana na akasema mipaka iliyopo iliwekwa na Wakoloni na hakuna haja ya kuendelea kuiacha badala yake Nchi za Afrika Mashariki zinapaswa kuifuta mipaka hiyo na kutengeneza Taifa moja huku akisema Afrika Mashariki ikiwa Taifa moja anapendekeza Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.

Kauli ya Muhoozi inakuja siku mbili tu tangu Baba yake Rais Museveni aseme amemzuia Mtoto wake kuzungumzia Mataifa mengine au kuongelea siasa kupitia akaunti yake ya Twitter lakini jana Muhoozi alijibu kwamba yeye ni Mkubwa (sio Mtoto) na hakuna yoyote anayeweza kumpangia cha kufanya.

Credit: Millard Ayo UPDATES
FALSAFA ZA MWL. NYERERE ZINAIBUKIA KWA KASI KWA KIJANA HUYU, LAKINI AFAHAMU NDILO LENGO KUU YAANI KUELEKEA HUKO LAKINI SI KWA HARAKA NAMNA HIYO.
 
Kipi kibaya au kipya hapo amekisema huyo mtoto wa Museven?
Suala la nchi za Afrika kutakiwa kuungana ndio wazo lililokuwepo tangu miaka ya 1960s tena likipiganiwa na kina Nyerere, Kwame Nkuruma, Nelson Mandela, Kenneth Kaunda, Patrice Lumumba. Kipi cha ajabu?

Lengo la Afrika kuwa nchi moja lilipoletwa upya miaka ya 2000s na rais wa Libya (Ghadaf) mbona wengi tuliliona la kishujaa. Kwanini leo likisemwa na mtoto wa Museven tunaona ni ukichaa?

Lengo la uwepo wa Jumuiya ya Afrika mashariki kihistoria lilikuwa ni kuja na nchi mmoja katika ukanda huu. Nini kipya au Kipi cha ajabu?

Kuna ubaya gani kwa yeye kutoa maoni yake kuhusu baba yake kufaa kuwa rais wa Afrika mashariki ikiwa nchi za ukanda huu zikiungana? Nyinyi mnataka Samia, Kagame, Ruto au nani aje awe rais?
Yeye anata nchi zikiungana, Rais awe Museveni na mkuu wa majeshi awe yeye mwenyewe
 
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo October 19,2022 amerejea tena kauli yake ya kuwahamiza Vijana wa Afrika Mashariki kuunga mkono hoja yake ya kutaka Nchi za Afrika Mashariki ziungane na kuwa Taifa moja.

“Vijana wenzangu wa Afrika, nikiwa kama Kiongozi wenu ambaye mmenichagua wenyewe, nawahimiza kuuona umuhimu wa kushinikiza kwa haraka muungano wa Nchi za Afrika Mashariki, huu ni mpango wetu mdogo wa kisiasa, mipango mingine nitawapa mwongozo”

Itakumbukwa October 04,2022 Muhoozi alisema ameongea na Baba yake Rais Museveni kuhusu mpango wa kuifanya Afrika Mashariki kuungana na akasema mipaka iliyopo iliwekwa na Wakoloni na hakuna haja ya kuendelea kuiacha badala yake Nchi za Afrika Mashariki zinapaswa kuifuta mipaka hiyo na kutengeneza Taifa moja huku akisema Afrika Mashariki ikiwa Taifa moja anapendekeza Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.

Kauli ya Muhoozi inakuja siku mbili tu tangu Baba yake Rais Museveni aseme amemzuia Mtoto wake kuzungumzia Mataifa mengine au kuongelea siasa kupitia akaunti yake ya Twitter lakini jana Muhoozi alijibu kwamba yeye ni Mkubwa (sio Mtoto) na hakuna yoyote anayeweza kumpangia cha kufanya.

Credit: Millard Ayo UPDATES
Utawala uliolaanika....
 
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo October 19,2022 amerejea tena kauli yake ya kuwahamiza Vijana wa Afrika Mashariki kuunga mkono hoja yake ya kutaka Nchi za Afrika Mashariki ziungane na kuwa Taifa moja.

“Vijana wenzangu wa Afrika, nikiwa kama Kiongozi wenu ambaye mmenichagua wenyewe, nawahimiza kuuona umuhimu wa kushinikiza kwa haraka muungano wa Nchi za Afrika Mashariki, huu ni mpango wetu mdogo wa kisiasa, mipango mingine nitawapa mwongozo”

Itakumbukwa October 04,2022 Muhoozi alisema ameongea na Baba yake Rais Museveni kuhusu mpango wa kuifanya Afrika Mashariki kuungana na akasema mipaka iliyopo iliwekwa na Wakoloni na hakuna haja ya kuendelea kuiacha badala yake Nchi za Afrika Mashariki zinapaswa kuifuta mipaka hiyo na kutengeneza Taifa moja huku akisema Afrika Mashariki ikiwa Taifa moja anapendekeza Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.

Kauli ya Muhoozi inakuja siku mbili tu tangu Baba yake Rais Museveni aseme amemzuia Mtoto wake kuzungumzia Mataifa mengine au kuongelea siasa kupitia akaunti yake ya Twitter lakini jana Muhoozi alijibu kwamba yeye ni Mkubwa (sio Mtoto) na hakuna yoyote anayeweza kumpangia cha kufanya.

Credit: Millard Ayo UPDATES
aaaah muhozi anatutafutia lawama sisi wazee wa kilwa kivinje anyway aendelkez mdomo wake tutamfundisha namna ya kukaa kmya
 
Yeye anata nchi zikiungana, Rais awe Museveni na mkuu wa majeshi awe yeye mwenyewe
Ndivyo akili zinamtuma. Huyu ni mtu mbaya sana anaweza kufanya lolote mradi tu ndoto yake hiyi itimie.
 
Kipi kibaya au kipya hapo amekisema huyo mtoto wa Museven?
Suala la nchi za Afrika kutakiwa kuungana ndio wazo lililokuwepo tangu miaka ya 1960s tena likipiganiwa na kina Nyerere, Kwame Nkuruma, Nelson Mandela, Kenneth Kaunda, Patrice Lumumba. Kipi cha ajabu?

Lengo la Afrika kuwa nchi moja lilipoletwa upya miaka ya 2000s na rais wa Libya (Ghadaf) mbona wengi tuliliona la kishujaa. Kwanini leo likisemwa na mtoto wa Museven tunaona ni ukichaa?

Lengo la uwepo wa Jumuiya ya Afrika mashariki kihistoria lilikuwa ni kuja na nchi mmoja katika ukanda huu. Nini kipya au Kipi cha ajabu?

Kuna ubaya gani kwa yeye kutoa maoni yake kuhusu baba yake kufaa kuwa rais wa Afrika mashariki ikiwa nchi za ukanda huu zikiungana? Nyinyi mnataka Samia, Kagame, Ruto au nani aje awe rais?
Naunga mkono hoja.
Kuna wengi hawajui lengo la Jumuiya ya Afrika Mashariki ni mtangamano wa kuelekea nchi moja. Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano
P
 
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo October 19,2022 amerejea tena kauli yake ya kuwahamiza Vijana wa Afrika Mashariki kuunga mkono hoja yake ya kutaka Nchi za Afrika Mashariki ziungane na kuwa Taifa moja.

“Vijana wenzangu wa Afrika, nikiwa kama Kiongozi wenu ambaye mmenichagua wenyewe, nawahimiza kuuona umuhimu wa kushinikiza kwa haraka muungano wa Nchi za Afrika Mashariki, huu ni mpango wetu mdogo wa kisiasa, mipango mingine nitawapa mwongozo”

Itakumbukwa October 04,2022 Muhoozi alisema ameongea na Baba yake Rais Museveni kuhusu mpango wa kuifanya Afrika Mashariki kuungana na akasema mipaka iliyopo iliwekwa na Wakoloni na hakuna haja ya kuendelea kuiacha badala yake Nchi za Afrika Mashariki zinapaswa kuifuta mipaka hiyo na kutengeneza Taifa moja huku akisema Afrika Mashariki ikiwa Taifa moja anapendekeza Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.

Kauli ya Muhoozi inakuja siku mbili tu tangu Baba yake Rais Museveni aseme amemzuia Mtoto wake kuzungumzia Mataifa mengine au kuongelea siasa kupitia akaunti yake ya Twitter lakini jana Muhoozi alijibu kwamba yeye ni Mkubwa (sio Mtoto) na hakuna yoyote anayeweza kumpangia cha kufanya.

Credit: Millard Ayo UPDATES
Hili ni jambo jema na heri
Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano namuunga mkono huyu Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, na akiona vipi, ampumzishe Baba, akamate usukuni a fast track mtangamano.

P
 
Huyu jamaa ni hatari kwa Ulinzi na Usalama wa nchi, nashauri achungwe sana na asipewe madaraka yoyote ili kuepusha kile kilichotutokea kutoka kwa Hitler.
 
Agenda IPI?ashughulike na afya ya akili yake Kwanza
Mihela ikiwa mingi imejaa kila upande mtu anapata ujasiri wa kufanya chochote kile !! Anaamini kila kitu kinawezekana ! Lakini pia hoja yake ya muungano sio ngeni ilishaongelewa hata na akina hayati Baba wa Taifa na wenzie waliokuwepo enzi za uhai wao. !!
 
Back
Top Bottom