Muhozi ni CHIZI mwenye HOJA.Huyo kalogwa na Waganda
Na ndiko anakoelekea maybe amepewa Green light na wanaohusika!!Hili ni jambo jema na heri
Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano namuunga mkono huyu Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, na akiona vipi, ampumzishe Baba, akamate usukuni a fast track mtangamano.
P
Haswaaa. !!Muhozi ni CHIZI mwenye HOJA.
Mawazo hayo alikuwa nayo Mwl Nyerere na amezikwa nayo, alipenda Afrika nzima ije kuwa Nchi moja.
Wengi kinachotutatiza ni uchu wa madaraka, kwamba tukiwa Taifa moja, CHAMA changu kitakuwa na nafasi Gani, au nimpendaye atapanda au kushuka!!!!!!!
Mu7 ni senior pande hii ya EAC !! 😅👍Kipi kibaya au kipya hapo amekisema huyo mtoto wa Museven?
Suala la nchi za Afrika kutakiwa kuungana ndio wazo lililokuwepo tangu miaka ya 1960s tena likipiganiwa na kina Nyerere, Kwame Nkuruma, Nelson Mandela, Kenneth Kaunda, Patrice Lumumba. Kipi cha ajabu?
Lengo la Afrika kuwa nchi moja lilipoletwa upya miaka ya 2000s na rais wa Libya (Ghadaf) mbona wengi tuliliona la kishujaa. Kwanini leo likisemwa na mtoto wa Museven tunaona ni ukichaa?
Lengo la uwepo wa Jumuiya ya Afrika mashariki kihistoria lilikuwa ni kuja na nchi mmoja katika ukanda huu. Nini kipya au Kipi cha ajabu?
Kuna ubaya gani kwa yeye kutoa maoni yake kuhusu baba yake kufaa kuwa rais wa Afrika mashariki ikiwa nchi za ukanda huu zikiungana? Nyinyi mnataka Samia, Kagame, Ruto au nani aje awe rais?
Boya tuu huyo,mnahangaika na kichaa?Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo October 19,2022 amerejea tena kauli yake ya kuwahamiza Vijana wa Afrika Mashariki kuunga mkono hoja yake ya kutaka Nchi za Afrika Mashariki ziungane na kuwa Taifa moja.
“Vijana wenzangu wa Afrika, nikiwa kama Kiongozi wenu ambaye mmenichagua wenyewe, nawahimiza kuuona umuhimu wa kushinikiza kwa haraka muungano wa Nchi za Afrika Mashariki, huu ni mpango wetu mdogo wa kisiasa, mipango mingine nitawapa mwongozo”
Itakumbukwa October 04,2022 Muhoozi alisema ameongea na Baba yake Rais Museveni kuhusu mpango wa kuifanya Afrika Mashariki kuungana na akasema mipaka iliyopo iliwekwa na Wakoloni na hakuna haja ya kuendelea kuiacha badala yake Nchi za Afrika Mashariki zinapaswa kuifuta mipaka hiyo na kutengeneza Taifa moja huku akisema Afrika Mashariki ikiwa Taifa moja anapendekeza Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.
Kauli ya Muhoozi inakuja siku mbili tu tangu Baba yake Rais Museveni aseme amemzuia Mtoto wake kuzungumzia Mataifa mengine au kuongelea siasa kupitia akaunti yake ya Twitter lakini jana Muhoozi alijibu kwamba yeye ni Mkubwa (sio Mtoto) na hakuna yoyote anayeweza kumpangia cha kufanya.
Credit: Millard Ayo UPDATES
Ego is real enemy to us. He never satisfied to rule Uganda for 30+yrs,akitawala east Africa later atahimiza afrika ziungane ili awe raisi.bado akiwa raisi wa afrika atasema mabara yote yaungane Mana Ni ardhi moja tulitenganishwa due to pangea na sijui tectonic plates sijui zikafanyeje so tuwe kitu kimoja awe raisi wa dunia.Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.
MKUUAsikusumbue He is blocked Mentally.
Huenda hapa ndipo pana njia ya kuwafungulia mlango waGanda wawe huru.Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, leo October 19,2022 amerejea tena kauli yake ya kuwahamiza Vijana wa Afrika Mashariki kuunga mkono hoja yake ya kutaka Nchi za Afrika Mashariki ziungane na kuwa Taifa moja.
“Vijana wenzangu wa Afrika, nikiwa kama Kiongozi wenu ambaye mmenichagua wenyewe, nawahimiza kuuona umuhimu wa kushinikiza kwa haraka muungano wa Nchi za Afrika Mashariki, huu ni mpango wetu mdogo wa kisiasa, mipango mingine nitawapa mwongozo”
Itakumbukwa October 04,2022 Muhoozi alisema ameongea na Baba yake Rais Museveni kuhusu mpango wa kuifanya Afrika Mashariki kuungana na akasema mipaka iliyopo iliwekwa na Wakoloni na hakuna haja ya kuendelea kuiacha badala yake Nchi za Afrika Mashariki zinapaswa kuifuta mipaka hiyo na kutengeneza Taifa moja huku akisema Afrika Mashariki ikiwa Taifa moja anapendekeza Baba yake Museveni ndiye awe Rais wa Muungano huo.
Kauli ya Muhoozi inakuja siku mbili tu tangu Baba yake Rais Museveni aseme amemzuia Mtoto wake kuzungumzia Mataifa mengine au kuongelea siasa kupitia akaunti yake ya Twitter lakini jana Muhoozi alijibu kwamba yeye ni Mkubwa (sio Mtoto) na hakuna yoyote anayeweza kumpangia cha kufanya.
Credit: Millard Ayo UPDATES
Mimi nilichiwaza ni kuwa anataka afukuzwe hiyo nafasi yake ili aje kugombea akiwa Raia.Nani kamchagua?? Huwenda wana agenda ya siri na baba ake afanye mapinduzi ya uongo kurithi kiti maana mzee anaona aibu kumuachia kiti cha urais