Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #21
sawa nitamfahamisha kwamba inabidi tuachaneBasi tulia na mkeo na wala hutozisikia tena hizo kero za mtoto wa kimada wako
hamna noma nitamchakachua tu na kutoongelea lolote kuhusu mwanawekwa kuwa huna wa kukuambia kuhusu tabia za wanao,hayakuhusu ana babake huyo fanya kilichokupeleka.
kwa kuwa huna wa kukuambia kuhusu tabia za wanao,hayakuhusu ana babake huyo fanya kilichokupeleka.
ni nini kaka?used ni:hatari:
hamna shaka nitauchukua ushauri huuFanya kilokupeleka.
Ushauri of the year.
,hayakuhusu ana babake huyo fanya kilichokupeleka.
Ujanja wote huo mtoto wa kwanza umeanziwa na mwenzio. Nunua mpya achana na "second hand" zinasumbua sana.
kumbe mpya ni za kichina!Anaogopa za kichina! angalao used znatoa matumaini!
kumbe mpya ni za kichina!
hawa jamaa noma kumbe hizo zilizopo mitaani zote ni za kuchakachuliwa?Nyingi sheikh maana hata hips, utepe, nido aka hoteli ya mtoto na hata tukunyema zatengenezwa china sasa.
hahahahahaaa hii ni nyumba ndogo yangu sio my wife wangu wa kunyumba
1.Bibie mie silei mtoto wa mtu kwa maana baba wa mtoto yupo na wanajuana wenyewe hukokha kumbe ni mpango wa kando??
Huna haya mwanaume wewe loooohh mtoto kazalisha mwingine wewe unalea?? Halafu hapo anapokuja kukutembelea ni wapi??
Mkeo anakuwa wapi?? Niweke sawa kwanza kwa hilo.
Sio unatuletea mchezo wa kuigiza hapa
hamna shaka mkuu nitafanya hivyoNilipanga nikushauri jambo lakini nilipoona hapo tu kwenye bluu nikaahirisha ghafla. Anyway, tulia kwa nyumba kubwa uone kama hicho kitoto kitakukera tena.
hawa jamaa noma kumbe hizo zilizopo mitaani zote ni za kuchakachuliwa?
hahahahaha noma kakaUmesahau yule dada aliyeolewa na mchina kabeba mimba miezi 9 kujifungua tu mtoto akafa! dada wa watu nakawa analia kwa uchungu mwingi huku anasema " I knew it! I knew it!" wakamuu liza nini tena akawaambia I knew that china product doesnt last longer!
kiswanglishMatumizi mabaya ya lugha! "my wangu" ndiyo nini?