Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #41
Mpango ulikuwa kwa baadae kama mambo yatajipa basi nichukue jumla awe mke no 2 lkn huyu mtoto kashanitumbukia nyongo,mpango wenyewe nikauvunjilia mbaliKwani ndugu ulitaka kuoa au ulikuwa unachakachua kwa lengo la kumiliki baadaye? Huwazi jua aliyekutangulia alikimbia nini wakati ndo mwenye mtoto seuse wewe mlaji wa msituni kama nguruwe anayekula shamba!
Nakuambia ndugu yangu ni Mashaka kwa kwenda mbeleAha ha,,,,,,,kumbe nyumba ndogo nazo chungu ehh! It Serves u right!
nikuamini mkuu ngoja nimtafutie ile ya kuulia panya
Nachungulia 2 ciingii ndani jamani hamjambo nyote?
Kiti kitanivnja shngo manake nina ucngizi debe.vp h'ninyo inshu znasemaje pande za huko?mtoto wa mkeo/hawara ni mwanao sharti umkanye acha dharau eti MTOTO MY G FRIEND WANGU?bila shaka umeusahau ule usemi ukipenda UA sharti UPENDE na BOGA.hatujambo.
Acha kuchungulia bwana.
Karibu kiti.
Hahahaha tena ya sprite/7up anaweza akajua almasi,nitamaliza biashara kwa style hiiSumu y panya y cku hz zinatengenezwa na wachina haziui.msagie chupa
Hahahaha tena ya sprite/7up anaweza akajua almasi,nitamaliza biashara kwa style hii
Nikimkanya naambiwa kuwa cmpendiKiti kitanivnja shngo manake nina ucngizi debe.vp h'ninyo inshu znasemaje pande za huko?mtoto wa mkeo/hawara ni mwanao sharti umkanye acha dharau eti MTOTO MY G FRIEND WANGU?bila shaka umeusahau ule usemi ukipenda UA sharti UPENDE na BOGA.
Hahahahaha kwann mkuu?Chwechwe na Washawasha mnaroho mbaya kama ndugu wa mume:lol:
Hatujambo.Nachungulia 2 ciingii ndani jamani hamjambo nyote?
Basi huyo mtoto atakua kma yai.ok ASIE FUNZA NA BABA WA KAMBO HUFUNZWA NA MALIMWENGUNikimkanya naambiwa kuwa cmpendi
Sawa bibie nitatulia na my wife wangu,watoto wangu nashukuru wamenyooka kama rula.Embu tulia na mke wako huko!Mtoto wako umeshamkanya mpaka ukasaidie wa mwanaume mwenzako?
HahahahaBasi huyo mtoto atakua kma yai.ok ASIE FUNZA NA BABA WA KAMBO HUFUNZWA NA MALIMWENGU
Bbaba wa kambo mwenyewe hajafunzwa maana angefunzwa asingemuacha mkewe analiwa na mbu anaenda kuhangaika na watoto wa wanaume wenzie:hatari:Basi huyo mtoto atakua kma yai.ok ASIE FUNZA NA BABA WA KAMBO HUFUNZWA NA MALIMWENGU
Sawa bibie nitatulia na my wife wangu,watoto wangu nashukuru wamenyooka kama rula.
Mijanaume mingine bana...hasara tupu!Sawa bibie nitatulia na my wife wangu,watoto wangu nashukuru wamenyooka kama rula.
Inakuwa rahisi kuunganishwa hata kwa supa gluangalia wakinyooka sana kuna hatari ya kuvunjika!
Duh! Hasara ipi tena?Mijanaume mingine bana...hasara tupu!