Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #141
miezi 7 ? Si ataenda kuchakachuliwa nje,halafu ni kuanza kulea mimba za watu jamani!Mweleze ukweli na ikibidi mtie BAKORA za ukweli.. Ukikunyima URODA miezi mitatu, wewe mnyime miezi saba.
sam taim analazimisha kuja naye kwenye hili pango langu la kudemuliaKwa kuwa ni mtoto wa mwenzio ndio maana unaona mapungufu mengi kuliko wa kwako,hata hivyo huna haja ya kusumbuka sana na huyo mtoto kwani unaweza kutokutana nae kwa kutokwenda kwa huyo nyumba ndogo wako.
my wife wangu hajui kinachoendelea pamoja ya kwamba niko naye.Na huyu bibie huwa anakuja kunitembelea ktk chumba kingine sio hapa nyumba kubwaKaka hiyo hatari, unacheza na moto. My waifu wako anajua hayo? Au ndo umemuacha kijijini na unachakachuliwa mujini? Acha hizo br, mlete my waifu wako huku naye afaidi. Maana unaposema anakuja kwako, na my waifu hayupo? Nakushauri nenda kwa babu unywe na ukishakunywa hurudii tena maana kwa babu no dublicate.
Mshamba tu wewe, wenzio wameshazalisha halafu wewe unachukuwa scraper, hebu ngoja nihame jukwaa huku ni kichefu kichefu tu.
Hili Kinda la kike au la Kiume Mkuu,
Kama Ka Kike Tambaa nako na bit kama vp
Nitaitumia mbinu hii kulinyoosha hili kindaWashawasha kama una mpango wa kuendelea na huyo dada inabidi uchukue hatua kurekebisha hali hii.Kama mtoto sio chini ya miaka 5 mpate akiwa pekeyake na kumuadhibu bila kumuumiza na umwambie akimwambia mama utamuadhibu tena.Kuna jirani yangu alimuoa mwanamke mwenye mtoto wa kiume wa miaka 8 nae alisumbua sana mpaka mbinu hii ilipotumika mtoto kanyooka.
Kaka kama uko Dar jitahidi umnunulie pikipiki harafu uwe unamtuma mijini mara kwa mara au baiskeli utakuwa umemaliza tatizo kirahisi. Nakutania kaka usije ukaua, hivyo vitu vya motto kuna watu huwa wanafanya utani kuwa ukiwa na mtoto wa kufikia ambaye humpendi mnunulie piki piki Dar
Afadhali ya baba wa kambo kuliko mama wa kambonimeamini sasa watu wanaosema baba wa kambo sio babaako
Nilishawahi kumuambia ya kwamba tabia ya mwanawe mie siipendi na nataka nimbadilishe ili awe kwenye mstari lkn akawa anasuasua akidhani nitakuwa namtesa,bac mie nikamuachia mwanawe watajuana wenyeweKumbe demu mwenywe ni kicheche wa nje. Still hata kama ni wanje unapo ona analea vibaya ushauri ni muhimu kwa huyo kicheche wako unaye cheat naye!