Mtoto wa My Girlfriend wangu hajatulia

Mtoto wa My Girlfriend wangu hajatulia

Mweleze ukweli na ikibidi mtie BAKORA za ukweli.. Ukikunyima URODA miezi mitatu, wewe mnyime miezi saba.
miezi 7 ? Si ataenda kuchakachuliwa nje,halafu ni kuanza kulea mimba za watu jamani!
 
Kwa kuwa ni mtoto wa mwenzio ndio maana unaona mapungufu mengi kuliko wa kwako,hata hivyo huna haja ya kusumbuka sana na huyo mtoto kwani unaweza kutokutana nae kwa kutokwenda kwa huyo nyumba ndogo wako.
sam taim analazimisha kuja naye kwenye hili pango langu la kudemulia
 
Kaka hiyo hatari, unacheza na moto. My waifu wako anajua hayo? Au ndo umemuacha kijijini na unachakachuliwa mujini? Acha hizo br, mlete my waifu wako huku naye afaidi. Maana unaposema anakuja kwako, na my waifu hayupo? Nakushauri nenda kwa babu unywe na ukishakunywa hurudii tena maana kwa babu no dublicate.
my wife wangu hajui kinachoendelea pamoja ya kwamba niko naye.Na huyu bibie huwa anakuja kunitembelea ktk chumba kingine sio hapa nyumba kubwa
 
Washawasha kama una mpango wa kuendelea na huyo dada inabidi uchukue hatua kurekebisha hali hii.Kama mtoto sio chini ya miaka 5 mpate akiwa pekeyake na kumuadhibu bila kumuumiza na umwambie akimwambia mama utamuadhibu tena.Kuna jirani yangu alimuoa mwanamke mwenye mtoto wa kiume wa miaka 8 nae alisumbua sana mpaka mbinu hii ilipotumika mtoto kanyooka.
Nitaitumia mbinu hii kulinyoosha hili kinda
 
Kaka kama uko Dar jitahidi umnunulie pikipiki harafu uwe unamtuma mijini mara kwa mara au baiskeli utakuwa umemaliza tatizo kirahisi. Nakutania kaka usije ukaua, hivyo vitu vya motto kuna watu huwa wanafanya utani kuwa ukiwa na mtoto wa kufikia ambaye humpendi mnunulie piki piki Dar

Hapana mkùu wangu siko Dar
 
nimeamini sasa watu wanaosema baba wa kambo sio babaako
 
Ur just a bad step father! ,Kwanza una ubinafsi wa kumtenga huyo mtoto, ukimchukulia kama si wako, pili huna ushauri mzuri kwa girlfriend wako, kwa sababu unamwachia kwa kumuogopa sababu yaku husudisha sana unyumba zaidi kuliko kufukiria future ya mtoto ambaye unatakiwa umlee na kumthamini kama wako, tatu hata ukipata wattoto wako utawalea vibaya kwa sababu huta fuata njia muafaka za malezi kwani kwako a physical abuse ndio kitu kikubwa ambacho na dhani hakita juenga zaidi ya kbomoa malezi ya watoto wako sababu ,huwezi ongelea suala husika sabbu ya uoga au kutojua ufanye nini.
 
Kumbe demu mwenywe ni kicheche wa nje. Still hata kama ni wanje unapo ona analea vibaya ushauri ni muhimu kwa huyo kicheche wako unaye cheat naye!
 
Kumbe demu mwenywe ni kicheche wa nje. Still hata kama ni wanje unapo ona analea vibaya ushauri ni muhimu kwa huyo kicheche wako unaye cheat naye!
Nilishawahi kumuambia ya kwamba tabia ya mwanawe mie siipendi na nataka nimbadilishe ili awe kwenye mstari lkn akawa anasuasua akidhani nitakuwa namtesa,bac mie nikamuachia mwanawe watajuana wenyewe
 
Back
Top Bottom