Mtoto wa ndugu yetu anaona aibu kurudi Tanzania tangu alipokwenda Marekani

Mtoto wa ndugu yetu anaona aibu kurudi Tanzania tangu alipokwenda Marekani

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Inauma sana kama hupo mbali na hakuna lolote alafu unaona au kusikia kwenye mitandao ya kijamii fulani kajenga, kaoa na yeye sasa kasafiri.

Kinacho mfanya kuona aibu ni ubinafsi kipindi yupo huko alijiona ndio kafika tukashauri sana ndugu zake tuliopo mtambuka tufanye ushirikiano ila ndio hivo binadamu hata hapa viongozi nao wapo hivo hivo.

Mimi nawapongeza sana watu wa visiwani kwa umoja wenu ndio mnafanya nchi yenu kufika mbali ila huku bara ni husda ukishakuwa nje. Naletewa simu ya nokia tochi ananiuliza kuwa internet imeshafika ya 3g. kweli mtu huyu.
 
Ndugu wakiwa nje wa Nini kuwashobokea vizuri wajiongeze wenyewe, mwezi wa sita Kuna ndugu zetu wanakuja likizo bongo , toka wawe nje hakuna lolote, wanakuja kufikia kwenye vibanda vyetu, baada wangewekeza wakija wanafikia pazuri, mipango kununua ngombe kufanya sherehe na sio kuwekeza au kuweka home kuwe kizuri.
 
Inauma sana kama hupo mbali na hakuna lolote alafu unaona au kusikia kwenye mitandao ya kijamii fulani kajenga, kaoa na yeye sasa kasafiri.

Kinacho mfanya kuona aibu ni ubinafsi kipindi yupo huko alijiona ndio kafika tukashauri sana ndugu zake tuliopo mtambuka tufanye ushirikiano ila ndio hivo binadamu hata hapa viongozi nao wapo hivo hivo.

Mimi nawapongeza sana watu wa visiwani kwa umoja wenu ndio mnafanya nchi yenu kufika mbali ila huku bara ni husda ukishakuwa nje. Naletewa simu ya nokia tochi ananiuliza kuwa internet imeshafika ya 3g. kweli mtu huyu
Kwakuwa wewe ni Kaka yake shetani basi Mimi sina la kuongeza.

Ugumu wa maisha wa Marekani siyo sawa na Tanzania unajidanganya mwenyewe.

Watanzania wengi ambao bado hawajapata green card au hawana makaratasi huwa wanaogopa kutoka Marekani maana hautoruhusiwa tena kukanyaga Marekani na mtu Bongo hana mishe yoyote na maisha ya Marekani ni land of opportunity.

Hizo zingine ni beef zako tu au hasira za kutoswa viza na consular Sasa hasira zako unazihamishia Kwa wabeba mabox.
 
Kwakuwa wewe ni Kaka yake shetani basi Mimi sina la kuongeza.

Ugumu wa maisha wa Marekani siyo sawa na Tanzania unajidanganya mwenyewe.

Watanzania wengi ambao bado hawajapata green card au hawana makaratasi huwa wanaogopa kutoka Marekani maana hautoruhusiwa tena kukanyaga Marekani na mtu Bongo hana mishe yoyote na maisha ya Marekani ni land of opportunity.

Hizo zingine ni beef zako tu au hasira za kutoswa viza na consular Sasa hasira zako unazihamishia Kwa wabeba mabox.
Hongera kwa PhD
Kumbe title ulishaibadilisha
 
Back
Top Bottom