Mtoto wa ndugu yetu anaona aibu kurudi Tanzania tangu alipokwenda Marekani

Mtoto wa ndugu yetu anaona aibu kurudi Tanzania tangu alipokwenda Marekani

Inauma sana kama hupo mbali na hakuna lolote alafu unaona au kusikia kwenye mitandao ya kijamii fulani kajenga, kaoa na yeye sasa kasafiri.

Kinacho mfanya kuona aibu ni ubinafsi kipindi yupo huko alijiona ndio kafika tukashauri sana ndugu zake tuliopo mtambuka tufanye ushirikiano ila ndio hivo binadamu hata hapa viongozi nao wapo hivo hivo.

Mimi nawapongeza sana watu wa visiwani kwa umoja wenu ndio mnafanya nchi yenu kufika mbali ila huku bara ni husda ukishakuwa nje. Naletewa simu ya nokia tochi ananiuliza kuwa internet imeshafika ya 3g. kweli mtu huyu.
Wewe ni kaka wa shetani, kwa hiyo mtoto wa shetani halisi ndio unamuingelea?
 
Nina jamaa lika moja na mimi yupo Uingereza!,ameenda huko miaka takribañi 15 iliyopita!,maisha yake ni kitendawili kikubwa,huku wazazi wake wote na dada zake 2 wamekufa ameshindwa hata kurudi,.sound nyingi ohhh nimekosa viza....
Ukiona hivyo huyo hana makaratasi bado anabangaiza ila nae atakua mzembe fulani, miaka 15 ni mingi sana kutokwenda bongo kusalimia. Anyway, kuna watu na watu sema wabongo wanapenda kugeneralise watu wote walioko mamtoni kwa malengo tofauti.
Lika = Rika .
 
Wewe ni good sample ya diaspora wajinga wasiojitambuwa.

Hivi ukiinvest kwenye real estate na pesa yako unaingiziwa kwenye account shida iko wapi? Kama huna hata rafiki hata mmoja muaminifu wa kukaguwa estate zako na supervising basi wewe ni tatizo.

Kiwanja ni sehemu ya kwenda kusaka pesa ila maisha yapo Bongo.

Hebu check kitoto hiki Marekani una jeuri ya kukagusa haka? Lakini Bongo unawakula tu upendavyo.
Mimi ni good example ya watu wanaojitambua, sikuondoka bongo ili eti baadae nirudi au niwekeze bongo, niliondoka kuja kuishi nchi ya asali na maziwa mazima. Kama ni nyumba ninazo 3 na sina mpango nazo wanaishi ndugu. Mie USA ndio mpango mzima, nitawekeza south america huko au ma Thailand nchi zinazoeleweka biashara za uhakika. Rafiki bongo??? tena hao marafiki wa zamani ndio matapeli haswa wanakuona wewe unaeishi mamtoni ndio wa kukuzamisha vizuri.
Hivyo vitoto navitekenya sana hapa Atlanta vipo vya kumwaga ofisini 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 US baby. Nyeee nyee boma yeee .
 
Mimi ni good example ya watu wanaojitambua, sikuondoka bongo ili eti baadae nirudi au niwekeze bongo, niliondoka kuja kuishi nchi ya asali na maziwa mazima. Kama ni nyumba ninazo 3 na sina mpango nazo wanaishi ndugu. Mie USA ndio mpango mzima, nitawekeza south america huko au ma Thailand nchi zinazoeleweka biashara za uhakika. Rafiki bongo??? tena hao marafiki wa zamani ndio matapeli haswa wanakuona wewe unaeishi mamtoni ndio wa kukuzamisha vizuri.
Hivyo vitoto navitekenya sana hapa Atlanta vipo vya kumwaga ofisini 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 US baby. Nyeee nyee boma yeee .
If you can't make it then fake it -Chinese proverb.

Naona unajifariji huwezi kupata stroke.
 
Hii story imetengenezwa ili watu waanze kujadili waliopo mamtoni na wala vumbi aka waturutumbi. Kuna mturutumbi mmoja kashauri kuwekeza bongo, hivi mtu yupo mamtoni awekeze bongo kweli?mnatuona mandezi sana eeh?? huo si upumbavu wa hali juu na anatafuta kuliwa tu. Watu mamtoni siku hizi wameshtuka wanawekeza bank ndio mpango mzima. Ujenge bongo ili waturutumbi waje wakudhulumu kua wewe sio raia...nyooo watu wanawekeza savings bank now, pesa inatulia, holiday Brazil, Cancun au Cuba. Jiji kubwaaaa Ka shopping mall kamoja tu Mlimani City na kila mtu anapeleka kinyeo chake pale, Mambo ya joto kali na hamna umeme wameshayachoka.Jengeni nchi kwanza tutakuja huko Inshaallah.
Duuh!... balaaa
 
Ndugu wakiwa nje wa Nini kuwashobokea vizuri wajiongeze wenyewe, mwezi wa sita Kuna ndugu zetu wanakuja likizo bongo , toka wawe nje hakuna lolote, wanakuja kufikia kwenye vibanda vyetu, baada wangewekeza wakija wanafikia pazuri, mipango kununua ngombe kufanya sherehe na sio kuwekeza au kuweka home kuwe kizuri.
Umesema 'wanakuja likizo'. Huko waliko ndio kwao. Wawe na makazi mangapi? Uraia Pacha mnawabania, Ila mnataka wajenge!
 
Inauma sana kama hupo mbali na hakuna lolote alafu unaona au kusikia kwenye mitandao ya kijamii fulani kajenga, kaoa na yeye sasa kasafiri.

Kinacho mfanya kuona aibu ni ubinafsi kipindi yupo huko alijiona ndio kafika tukashauri sana ndugu zake tuliopo mtambuka tufanye ushirikiano ila ndio hivo binadamu hata hapa viongozi nao wapo hivo hivo.

Mimi nawapongeza sana watu wa visiwani kwa umoja wenu ndio mnafanya nchi yenu kufika mbali ila huku bara ni husda ukishakuwa nje. Naletewa simu ya nokia tochi ananiuliza kuwa internet imeshafika ya 3g. kweli mtu huyu.
Duh..
 
Mimi ni mwenyekiti wa Kijiji kinaitwa Marekani huku Bujumbura vijijini..... Hebu niambie anaitwa nani huyo ndugu yako?
 
Back
Top Bottom