Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wako, usimfiche

Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wako, usimfiche

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Anaesema kuwa mtoto wa nje ya ndoa ana hitilafu kijamii na kwa Mungu afikirie upya. Mwenye uwezo wa kuumba ni Mungu tu peke yake.

Kama umebahatika kupata mtoto wa nje ya ndoa mkumbatie sawa na wanavyokumbatiwa watoto wengine wote.

Msimfiche, mtangaze, mlete nyumbani kwako umlee bila ya kufikiri mara mbilimbili. Kama mke uliyenae atachukia mwambie alale mbele.

Imani mbovu iliyozoeleka juu ya watoto wa nje ya ndoa na woga wa wanaume kuwaogopa wake zao, wachungaji, masheikh na wanajamii juu ya watoto wao waliowapata nje ya ndoa kumesababisha mateso makubwa kwa watoto na akina mama wa nje ya ndoa.

Ni upuuzi kumficha mtoto na mama wa nje ya ndoa.
 
Anaesema kuwa mtoto wa nje ya ndoa ana hitilafu kijamii na kwa Mungu afikirie upya. Mwenye uwezo wa kuumba ni Mungu tu peke yake.

Kama umebahatika kupata mtoto wa nje ya ndoa mkumbatie sawa na wanavyokumbatiwa watoto wengine wote. Msimfiche, mtangaze, mlete nyumbani kwako umlee bila ya kufikiri mara mbilimbili. Kama mke uliyenae atachukia mwambie arare mbere.

Imani mbovu iliyozoeleka juu ya watoto wa nje ya ndoa na woga wa wanaume kuwaogopa wake zao, wachungaji, masheikh na wanajamii juu ya watoto wao waliowapata nje ya ndoa kumesababisha mateso makubwa kwa watoto na akina mama wa nje ya ndoa. Ni upuuzi kumficha mtoto na mama wa nje ya ndoa.
Mara nyingi akina baba wanafanana nao kuliko wale walioko ndani ya ndoa.
 
Huwa nawashangaa sana wale wanaoita mtoto wa nje ya ndoa ni MWANA HARAMU.... Binadamu bwana...

Somo zuri mkuu, Binadamu wote duniani ni viumbe wa Mungu na hakuna binadamu bora kuliko mwingine.. Wote tunazaliwa tunaishi na tunakufa... Hakuna aliye mkamilifu

Awe Genius, Mjanja, Taahira, kichaa au yupo yupo wote ni wa Mungu na Mungu ana kusudio lake kuwaumba..

Kwa hiyo mimi sioni sababu ya kumtenga mtoto wa nje ya ndoa na kumuita Mwanaharamu!!
 
Kuchukia its obvious kwa sababu ULICHEAT na kithibitisho kipo, ila kufikia hatua ya kumwambia alale mbele, ni uzuzu uliotukuka. Muache yeye ndo aamue kma ni kulala mbele au kulala nyuma.

Wote ni watoto, no matter ni wa ndani ya ndoa au nje ya ndoa. Japo ukweli utabaki palepale kwamba hutaweza kudedicate muda sawa kwa watoto wote, ila ni muhimu wote wa-feel uwepo wa baba, no mata mpo under one roof or not.
 
Bora ukizaa nje ya ndoa uniambie nijue namna ya kukusaidia na kumsaidia mtoto pia,nisingependa laana ya ulichokifanya ije iwatafune wanangu maana watoto wanaoteseka kwa kukataliwa/ kitengwa na baba zao hulia na Mungu na vilio vyao M/Mungu huvijibu kwa mapigo mazito sana.
 
Bora ukizaa nje ya ndoa uniambie nijue namna ya kukusaidia na kumsaidia mtoto pia,nisingependa laana ya ulichokifanya ije iwatafune wanangu maana watoto wanaoteseka kwa kukataliwa/ kitengwa na baba zao hulia na Mungu na vilio vyao M/Mungu huvijibu kwa mapigo mazito sana.
Msaada gani utanipa wewe kwenye hili? maana baba na mama wa mtoto wapo hai na wanajiweza. Wewe mke wangu ninakupenda sana na watoto wako wote na wala sikumaanisha kuwa sikupendi, ila nguvu tu za kiume ndizo zilizonisukuma kumpenda tena mke mwingine ambae hana mume.
 
Msaada gani utanipa wewe kwenye hili? maana baba na mama wa mtoto wapo hai na wanajiweza. Wewe mke wangu ninakupenda sana na watoto wako wote na wala sikumaanisha kuwa sikupendi, ila nguvu tu za kiume ndizo zilizonisukuma kumpenda tena mke mwingine ambae hana mume.
Watoto wa nje ya ndoa pekee ndio wanalifurahia jambo hili,yaonyesha wewe ni muathirika wa matendo ya babako hivyo kwenu ni utamaduni wakati kwetu ni fedheha
 
Watoto wa nje ya ndoa pekee ndio wanalifurahia jambo hili,yaonyesha wewe ni muathirika wa matendo ya babako hivyo kwenu ni utamaduni wakati kwetu ni fedheha
Fedheha!! Fedha inatokana na wivu wa kimapenzi wa mzazi wako wa kike zaidi kuliko uhalisia. Mama yako angekosa wa kumuoa nae angetamani azae mtoto bila kujali ameolewa au la. Nabii Ibrahim na Sara yaliwakuta haya pia. Asilimia 40 (40%) ya watu wote duniani ni watoto wa nje ya ndoa na Mungu alihusika na uumbaji wao na bado anazidi kuwapigania kiasi cha kuwapa hadi Urais wa mataifa hata makubwa. Hata wewe mwenyewe inawezekana huyo baba sio baba yako.
 
Fedheha!! Fedha inatokana na wivu wa kimapenzi wa mzazi wako wa kike zaidi kuliko uhalisia. Mama yako angekosa wa kumuoa nae angetamani azae mtoto bila kujali ameolewa au la. Nabii Ibrahim na Sara yaliwakuta haya pia. Asilimia 40 (40%) ya watu wote duniani ni watoto wa nje ya ndoa na Mungu alihusika na uumbaji wao na bado anazidi kuwapigania kiasi cha kuwapa hadi Urais wa mataifa hata makubwa. Hata wewe mwenyewe inawezekana huyo baba sio baba yako.
Kavulata anapoleta tabia ya kavulana basi imatosha kujiweka pembeni,usiichekelee zinaa itakuangamiza
 
Kavulata anapoleta tabia ya kavulana basi imatosha kujiweka pembeni,usiichekelee zinaa itakuangamiza
Kuangamia unamaanisha kufa? wasiokuwa na matuini ndio wanaoogopa kufa.
 
Kavulata anapoleta tabia ya kavulana basi imatosha kujiweka pembeni,usiichekelee zinaa itakuangamiza
Unapoandika fikiria pia uumbaji wa Mungu. Kwani Mungu amempa uwezo mwanaume wa kuzaa watoto wangapi? wewe una wangapi? mbegu nyingine unazipeleka wapi? kama wewe una watoto 2 tu ufahamu kuwa umeikalia kazi ya MwenyeziMungu, utakuwa na la kujibu mbele yake.
 
Kavulata anapoleta tabia ya kavulana basi imatosha kujiweka pembeni,usiichekelee zinaa itakuangamiza
Unapoandika fikiria pia uumbaji wa Mungu. Kwani Mungu amempa uwezo mwanaume wa kuzaa watoto wangapi? wewe una wangapi? mbegu nyingine unazipeleka wapi? kama wewe una watoto 2 tu ufahamu kuwa umeikalia kazi ya MwenyeziMungu, utakuwa na la kujibu mbele yake.
 
Unapoandika fikiria pia uumbaji wa Mungu. Kwani Mungu amempa uwezo mwanaume wa kuzaa watoto wangapi? wewe una wangapi? mbegu nyingine unazipeleka wapi? kama wewe una watoto 2 tu ufahamu kuwa umeikalia kazi ya MwenyeziMungu, utakuwa na la kujibu mbele yake.
Haya bwana ila ukizaa uache husda mwambie mkeo
 
kuangamia unamaanisha kufa? wasiokuwa na matuini ndio wanaoogopa kufa.
Kifo ni njia ya Malhaba hata uiogope vipi lazima utafikia wakati utaitika, sikumaanisha kuangamia kwa kifo No
 
Kavulata anapoleta tabia ya kavulana basi imatosha kujiweka pembeni,usiichekelee zinaa itakuangamiza
Unapoandika fikiria pia uumbaji wa Mungu. Kwani Mungu amempa uwezo mwanaume wa kuzaa watoto wangapi? wewe una wangapi? mbegu nyingine unazipeleka wapi? kama wewe una watoto 2 tu ufahamu kuwa umeikalia kazi ya MwenyeziMungu, utakuwa na la kujibu mbele yake.
 
Back
Top Bottom