kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #61
Hiyo inatokea kama mume alikuwa hayuko nyumbani kabisa amesafiri au alifungwa jela na mke akapata mimba. Kaka kama wewe mwenyewe upo na unapiga kila siku mimba ya nje huwezi kuigundua Kamwe.Hii kwani mwanaume hawezi kuja kuchukua mtoto wake wa kwenye ndoa???
Na wanaume wangapi wameachana na wake zao kisa mkewe kazaa na mwanaume mwingine , si wengi tuu.
We vipi mzee baba