Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wako, usimfiche

Mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wako, usimfiche

Unapoandika fikiria pia uumbaji wa Mungu. Kwani Mungu amempa uwezo mwanaume wa kuzaa watoto wangapi? wewe una wangapi? mbegu nyingine unazipeleka wapi? kama wewe una watoto 2 tu ufahamu kuwa umeikalia kazi ya MwenyeziMungu, utakuwa na la kujibu mbele yake.
Mungu akamaanisha kuwa mwanaume ndo azalishe tuu hovyo ,
Acha uhungo mkuu sawa.
 
Mungu karuhusu kuzaa na mkeo tuu na sio kutoka na kwenda kuzaa na mtu mwingine ambaye sio mkeo .
Hapo unafanya uzinzi.
Ila hata makeo uwezi ukuwa unamzalisha tuuu all years , sawa kuzaa na mkeo sio dhambi ,
Ni uwezo wako tuu wewe kama unataka kuzaa na mkeo miaka yote wewe zaa tuu hakuna shida hata watoto 10 na zaidi.
Hapo mnamsingizia na kumzushia Mungu, maana mungu ana uwezo mkubwa uliokithiri viwango kuliko wale wanaotengeneza vitasa vya vilango na makufuli. Hivyo kama mpango wa Mungu ungekuwa huo unaousema basi ingekuwa ametengeza uume mmoja kwa uke mmoja tu, yaani kama kufuli na funguo zake tu na wala usingeweza kuzaa na mke ambae sio wako. Unachokisema ni upuuzi tu maana Mungu hawezi kukutengenezea mbegu mabilioni kwenye kende zako kwaajili ya mayai 400 tu ya mkeo ambayo yanapotea kila mwezi wakati wa kubleed. Kaka hata nyumbani kwako ungefuga mabeberu 10 na majike 10 ya mbuzi kila mtu na wake. Narudia tena sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, hivyo
1. Usipoteze mbegu zako kwa kutembea na mwanamke mzee (asiyezaa)
2. usitembee na mwanamke asiyetaka kuzaa (anaetumia njia za uzazi wa mpango)
3. Usitembee na mwanamke ambae ana bleed
4. Usitembee na mwanamke ambae ana mimba tayari
5. Usitembee na mwanamke ambae ana mtoto mchanga
6. Usitembee na mwanamke ambae ni mgonjwa.

Kutembea na wanawake wa aina hii ni sawa na kupanda mbegu kwenye mwamba au kwenye bwawa kama mpumbavu. Mungu kaweka uhai kwenye shahawa usiwe kikojozi hata kwa wasiostahili, bali tembea na mwanamke ambae ana uwezekano wa kupata ujauzito hata kama sio mkeo bro.
 
Kuiba pesa za yatima n'a mchepuko ni kosa .ila ni kosa kubwa zaidi kuzipa heshima sawa pesa ulizozipata kwa kuuza biashara halali ya mkaa na pesa za kuibia kituo cha yatima.
USHAURI WANGU
Mtoto wa nje hana kosa anapaswa apewe malezi bora .makazi bora .elimu bora .chakula bora .
Njia ni mbili
1.Kama mama yake ana akili njema n'a anaheshimu ndoa yako .wekeza kumjenga asimamie urithi wa mwanae
2.kama ni mjinga weka kwenye asset zenye kukuwa thaman kwa muda mrefu mfano panda miti andikia usia hizi ekari 10 zisivunwe n'a apewe kijana akifukisha 19 yrs
3.kama huyo mama anakuchukia n'a mjinga .usitoe hata mia maana unatumia hela zabwanao wa halali kulea adui yao
 
Hapo mnamsingizia na kumzushia Mungu, maana mungu ana uwezo mkubwa uliokithiri viwango kuliko wale wanaotengeneza vitasa vya vilango na makufuli. Hivyo kama mpango wa Mungu ungekuwa huo unaousema basi ingekuwa ametengeza uume mmoja kwa uke mmoja tu, yaani kama kufuli na funguo zake tu na wala usingeweza kuzaa na mke ambae sio wako. Unachokisema ni upuuzi tu maana Mungu hawezi kukutengenezea mbegu mabilioni kwenye kende zako kwaajili ya mayai 400 tu ya mkeo ambayo yanapotea kila mwezi wakati wa kubleed. Kaka hata nyumbani kwako ungefuga mabeberu 10 na majike 10 ya mbuzi kila mtu na wake. Narudia tena sex ni kwaajili ya kuzaa tu basi, hivyo
1. Usipoteze mbegu zako kwa kutembea na mwanamke mzee (asiyezaa)
2. usitembee na mwanamke asiyetaka kuzaa (anaetumia njia za uzazi wa mpango)
3. Usitembee na mwanamke ambae ana bleed
4. Usitembee na mwanamke ambae ana mimba tayari
5. Usitembee na mwanamke ambae ana mtoto mchanga
6. Usitembee na mwanamke ambae ni mgonjwa.

Kutembea na wanawake wa aina hii ni sawa na kupanda mbegu kwenye mwamba au kwenye bwawa kama mpumbavu. Mungu kaweka uhai kwenye shahawa usiwe kikojozi hata kwa wasiostahili, bali tembea na mwanamke ambae ana uwezekano wa kupata ujauzito hata kama sio mkeo bro.
So MUNGU karuhusu uzinzi????
 
Kinachosababisha tuwafiche ni roho mbaya ya wake zetu. We huoni dada wa kazi analipwa 40,000 ila hataki asikie ameenda kwa jirani wala out na anataka akae nae miaka 10 na hajali kuwa huyo mdada kabalehe na anahitaji nae aonje dushelele. Wengine tumeoa wanawake mabaunsa yaani ukileta mtoto wa nje kesho na yeye anaenda kulipa kisasi atampa uroda hata work mate wako ili ajione ametoa Droo
 
Kuiba pesa za yatima n'a mchepuko ni kosa .ila ni kosa kubwa zaidi kuzipa heshima sawa pesa ulizozipata kwa kuuza biashara halali ya mkaa na pesa za kuibia kituo cha yatima.
USHAURI WANGU
Mtoto wa nje hana kosa anapaswa apewe malezi bora .makazi bora .elimu bora .chakula bora .
Njia ni mbili
1.Kama mama yake ana akili njema n'a anaheshimu ndoa yako .wekeza kumjenga asimamie urithi wa mwanae
2.kama ni mjinga weka kwenye asset zenye kukuwa thaman kwa muda mrefu mfano panda miti andikia usia hizi ekari 10 zisivunwe n'a apewe kijana akifukisha 19 yrs
3.kama huyo mama anakuchukia n'a mjinga .usitoe hata mia maana unatumia hela zabwanao wa halali kulea adui yao
Hakuna mwana wa halali na asie wa halali, wote wameumbwa na Mungu kwa muda na samani zilezile. Ni halali na sio halali kwa mkeo tu basi na kikundi cha watu wa kwenye ibada unakoswali/sali. Unamuogopa mke wako kama nini ambae nae ni mtoto wa nje ya ndoa. Yaani mtoto wa nje ya ndoa anakataa mtoto mwingine wa nje ya ndoa. Ndoa hizi ni makubaliano ya kibinadamu kukidhi hoja za kijamii tu, lakini kiukweli kabisa sio mpango wa mungu. Mtoto ni baraka na zawadi kutoka kwa Mungu, hata akina Nabii Ibrahim walichepuka ili kuipata baraka na zawadi hii. Huwezi kusema mke wa ndoa asiyezaa ni bora kuliko mke wa nje anaezaa watoto, huwezi kusema mke wa ndoa anaezaa watoto vilema na wajinga ni bora kuliko mke wa nje anaezaa watoto wenye afya njema na akili, na huwezi kusema mke wa ndoa asiye na heshima ni bora kuliko mke wa nje mwenye heshima na mchapakazi, huwezi kusema mke wa ndoa asiekushauri vizuri ni bora kuliko mke wa nje anaekupatia ushauri unaokupatia mafanikio. Wanaume kuweni makini sana na hii zana potofu.
 
Vipi kwa mkeo akizaa nje ya ndoa.
Si nae alete kwako.
Maana umeegemea upande mmoja tuu.
Mume akigoma mwambie alale mbele.
Ndio maana wazee wetu walisema kitanda hakizai haramu, walikuwa wanajua kuwa mwanaume huwezi kuwa na sifa zooooote anazopenda mwanamke kila siku kwa siku 365 kwa miaka 50 ya ndoa,
 
huu uzi unahalalisha uzinzi na uasherati... endeleeni
Hakuna mwanamke mwenye sifa zooooote anazotaka mwanaume lakini hakuna mtu mwenye uwezo wa kumiliki mtu mwingine, usijidanganye mwenyewe. Wahenga na viunbe wote wameshindwa sembuse wewe
 
Ndio maana wazee wetu walisema kitanda hakizai haramu, walikuwa wanajua kuwa mwanaume huwezi kuwa na sifa zooooote anazopenda mwanamke kila siku kwa siku 365 kwa miaka 50 ya ndoa,
Tangu lini kitanda kikazaa.
Unawazungumzia wale wazee wetu wa zamani wasio mjua MUNGU au wa wapi??
 
Tangu lini kitanda kikazaa.
Unawazungumzia wale wazee wetu wa zamani wasio mjua MUNGU au wa wapi??
Zamani ipi mkuu? Mbona leo hiihii hata viongozi wa dini wako wako walawiti wa watoto, wezi, mashoga, nk?

Alaaniwe yule mwanaume mwenye uwezo wa kuzaa, kuoa na kutunzia watoto na wanawake zaidi ya mmoja lakini anaishia kufanya mapenzi na mwanamke mwenye mimba tayari, anaenyonyesha, anaebkeed, aliemaliza uzazi (menopause), mgonjwa na asietaka kuzaa (family planning)
 
Kuna jamaangu alifirisika, alikuwa na nyumba nzuri mwanza,
Boti na mashine zake mbili, ofisi nzuri ya mambo ya simu.
Hana hata kimoja sasa hivi, na familia ilishasambaratika Hadi yeye kutoroka mji, ilikuwa afungwe kimasihara tu,
Chanzo mchepuko na watoto wa nje...
 
Anaesema kuwa mtoto wa nje ya ndoa ana hitilafu kijamii na kwa Mungu afikirie upya. Mwenye uwezo wa kuumba ni Mungu tu peke yake.

Kama umebahatika kupata mtoto wa nje ya ndoa mkumbatie sawa na wanavyokumbatiwa watoto wengine wote.

Msimfiche, mtangaze, mlete nyumbani kwako umlee bila ya kufikiri mara mbilimbili. Kama mke uliyenae atachukia mwambie alale mbele.

Imani mbovu iliyozoeleka juu ya watoto wa nje ya ndoa na woga wa wanaume kuwaogopa wake zao, wachungaji, masheikh na wanajamii juu ya watoto wao waliowapata nje ya ndoa kumesababisha mateso makubwa kwa watoto na akina mama wa nje ya ndoa.

Ni upuuzi kumficha mtoto na mama wa nje ya ndoa.
Yaani mke wangu anayeniheshimu, kunitii na kuhakikisha daima nakuwa mwenye furaha, nimwambie alale mbele kisa matokeo yangu ya uzinzi yametoka!!?
 
Kuna jamaangu alifirisika, alikuwa na nyumba nzuri mwanza,
Boti na mashine zake mbili, ofisi nzuri ya mambo ya simu.
Hana hata kimoja sasa hivi, na familia ilishasambaratika Hadi yeye kutoroka mji, ilikuwa afungwe kimasihara tu,
Chanzo mchepuko na watoto wa nje...
Hawa wanawake zetu tunatakiwa tuwapende na tuwatunze, lakini tusisahau kuwa kazi Yao kuu ni kuzaa na kulea watoto wako TU baaasi, nothing more nothing less. Kumpenda na kumtunza haimaanishi awe yeye TU hata kama hazai, hata kama amesafiri, hata kama ni mjamzito, hata kama mayai yake yameisha kiunoni, hata kama kazeeka, hata kama anachoma sindano za uzazi wa mpango asipate mimba na hata kama hajisikii kusex wewe. Mwanamke ukimpenda na kumtunza hakuachi ng'oo, lakini kumpenda haimaanishi ni kuwa na yeye TU milele nyakati zote. Mungu amekupa mbegu nyiingi zisizoisha kwaajili ya wanawake wengi. Kuna mwanamke pahala anashindwa kuzaa kwa kukosa mbegu Bora ambazo wewe unazitupa kwa kutembea na mwanamke asiyezihitaji kwa wakati huo kama vile kutembea na mwanamke anaefahamika kuwa hazai au hapati mimba au hataki mimba au ana mimba tayari. Kaka hata nyumbu hatembei na majike yenye mimba, atatafuta yule mwenye uhitaji wa kuzaa. Hata nyumbu analijua hili kwanini binadamu halijui? Utamkuta kijana likali kabisa anatembea na jimama lililomaliza kizazi loo¡ Kutembea na mama wa aina hii ni sawa na kupiga nyeto TU, dhambi.
 
Wengi wamekuja inbox kuniuliza hili na lile kuhusu hii mada. labda niseme kwa pamoja kuwa MwenyeziMungu ameumba na anaendelea viumbe wote na akavigawanya kwenye makundi 2 makuu ya wanaume na wanawake. Na kazi za msingi za wanaume na wanawake zinafanana kwa viumbe wote. kazi mama ya mwanamke kwa viumbe wote ni kupanda majike kwa lengo la kuzaa na kazi mama ya majike yote ni kupandwa na majike ili kupata mimba, kuzaa na kulea watoto hadi wawe wakubwa wafikie umri wa kujitemea wenyewe. Kazi ya pili kubwa ya ziada ya madume wote ni kutoa ulinzi kwa majike katika nyakati mbalimbali kama vile za hatari, mama anapozaa na mama anapoumwa au kunyonyesha, kuatamia, nk. Hakuna ngono kwaajili ya furaha tu hata kidogo, maana ngono zote zinadhoofisha afya za madume kwa njia mbalimbali. Wanyama wengine wamepewa akili ya kutambua lini jike limepusha mayai yake kwaajili ya kupata mimba hivyo wanapandana kwa wakati huo tu, lakini madume ya binadamu hayana akili ya kutambua ni lini yai la mwanamke limepevuka, hivyo wanaume inawalazimu kuwapanda wanawake wao kima kwa kujaribu (try and error) ili kukutana na wakati wa kupevuka yai la mwanamke. Hii inasababisha wanaume wawe vitombi kwakuwa hawajui ni lini mkewe atapata mimba. Mwanamke anaweza kujua lini yai lake limekomaa lakini mwanaume hajui anafanya ile kitu mwanasayansi ya tabia aitwae B.F. Skinner aliita "Operant Conditioning", yaani mwanaume anamwagamwaga mbegu zake kwenye uke kila siku kila mara lakini hajui ni mbegu ipi na lini itaota kuwa mimba.

Hivyo basi ni makosa makubwa ya Kimungu kwa mwanaume kufanya ngono na kummwagia mbegu zake mwanamke ambae hatarajii kuzaa, hataki kuzaa au hawezi kuzaa (kazeeka, ana mimba tayari, ananyonyesha kitoto kichanga, anatumia njia za uzazi wa mpango ili asipate mimba, mtoto mdogo ambae hajavunja ungo, mgonjwa au mwanafunzi ambae hatakiwi kuwa na ujauzito) na kuwaacha wanawake ambao wanazihitaji mbegu hizo kwa kuzaa.

Unapotembea na mwanamke ambae hataki au hawezi kuzaa hivyo maana yake unafanya hivyo kujifurahisha/kujiumiza kipumbavu au kumfurahisha mwanamke huyo. Yaani unamfurahisha yeye kisha unamhonga tena yeye wakati wewe unaumia. Kwa maana yake jimama hilo linafurahishwa, linalishwa, linasafirishwa na kulipwa mapesa pia na mwanaume huyo mpumbavu.

Hakuna mwanamke mwenye akili timamu ambae anatiwa vizuri (sexual satisfaction) na mume wake, analishwa vizuri na mume wake, anatunzwa vizuri na mume wake huyo na kuthaminiwa na mumewe ambae ataondoka kwako kwakuwa umezaa nje ya ndoa, hayupo huyo. Atangurumanguruma tu kidogo kama paka lakini yupoo.
 
kama hufanani fanani na wa ndani ya ndoa, hasa wa kiume, fanya uchunguzi
sure, angalia jirani yako, rafiki yako, muumini mwenzenu, mfanyakazi mwenzake, gengeni au kwenye butcher.
 
sure, angalia jirani yako, rafiki yako, muumini mwenzenu, mfanyakazi mwenzake, gengeni au kwenye butcher.
kama ameajiriwa ujue kuna wahuni walifanya kautafiti wakasema 70% ya watu wa maofisini wanatafunana....huko ndiko kwa kuanzia wala usisumbuke kumfuatilia jirani
 
Back
Top Bottom