Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐๐umejuaje mkuu๐๐..ukisikia huko muoaji nisaidie unisitiriNawewe inaonekana umri umeshakwenda na huna mwanaume mwenye dalili za kukuoa,unajua kabisa wanaume weupe hawawezi kuoa mwanamke mwenye mapengo lazima atapata chombo
Ndiyo ila uwa sitaki ku comment sana sababu thinking capacity za watu majukwaa haya siyo kama kule Jukwaa letu
Unakosea mkuu kwenye color wengi wanaprefer blak..mweupe akiwa na hela ule udhaifu inafunikwa na pesa๐๐๐๐..sasa uwe mweupe manyodo kama yote inajiona umezaliwa uesiei pesa huna..khaa itakupasa ujibebe
Basi huku africa hasa tanzania wanaume weusi tungekua tunagombaniwa
[emoji23][emoji23][emoji23] khaa eti wanataka kutupangia mwanaume hendsam ni yupi, watuwacheee tunajua sisi watumiaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57]Nashangaa wanatumisinterprate..mwanaume mweusi ni HAZINA YA TAIFA LETU CHANGA
Ok sisikilizagi radio ndo mana. Asante kwa taarifa
Relax naona.limekushika balaa.hii ni chitchat tu..huyu anaeandika hapa hubby yake mwenyewe ukimuonaa ..hahhaa january mweusi..!relax
Baraka wa dstv ndo nani tena? Unaongea as if tuna common interest basi.....Huyu kaka muweke yuke Baraka wa dstv muweke na huyu Mwachi alafu weka wanawake 100 waende kwa wanayemfeel..90 wataenda kwa mwachi!unataka kumfananisha mwachi na vitu vya kijinga eh
Inaonekana wewe ni mweusi mana hakunaga wanawake desperate kama wale weusi...yani utaskia " I'm so proud of my color" hapo hajaulizwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..angalia comments za wanawake wanapenda wanaume gan..nashangaaga wakaka weupe kutwa kujiona wazuurii[emoji848]
NImeona post kama hiihii instagram kwa dulla_square , kwanini unacopy na kupaste?
Write your reply...
Duller ndio zake mbonaNdo nimeona now pia , yeye ndo ka copy , angalia hii thread nimepost lini na yeye kapost lini Ndo utapata majibu
Watu humu wanajua vizur mwandiko wangu , Mara nyingi sana insta wanaiba content zangu , hata shigongo nae mpaka kwenye magazeti yake alikua anaandika umbea wangu
Binamu ukisikia warumi kimbia , Jina kubwa hili mjini , wadau wa umbea wote wananijua , lol
Huyo duller ka copy kila kitu , tena ka edit , Mimi nilimwita Mwasi yeye ndo kaandika Jina lake vzur mwachi , ahah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haha na nyie over 25 hamnaga soko eti mana wadau wanachukua watoto wabichi wabichi...tena beware kuna form 6 wanamaliza may apo kesho kutwa tukama ww mweupe soko lako lipo kwa under 25...wanataka wakuosha naye sura[emoji4][emoji4]finyu saaaana
Usiwaze sana ndo mana Kayumba zikawepoNawaza tu kwa Sauti ya juu,hawa watoto wataendelea kupiga shule pale Feza kweli au ndo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha umeona eeh uyo atakua ni mweusi kweli kweli ila sio mweusi mzuri type ya lupita nyongoNawewe inaonekana umri umeshakwenda na huna mwanaume mwenye dalili za kukuoa,unajua kabisa wanaume weupe hawawezi kuoa mwanamke mwenye mapengo lazima atapata chombo
Inaonekana umepata sana rejection nyingi za wanaume weupe ndo mana una so much hatred!Unakosea mkuu kwenye color wengi wanaprefer blak..mweupe akiwa na hela ule udhaifu inafunikwa na pesa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..sasa uwe mweupe manyodo kama yote inajiona umezaliwa uesiei pesa huna..khaa itakupasa ujibebe
Sijawahi kuona mwanamke anayesema anapenda mwanaume mweupeKweli wanawake hawaelewi wanataka nini,
Mara wanataka mwanaume mweupe
Mara wanataka mwanaume mweusi
Dada alikuwa poa sana yule .Kilimpata kitu gani .Ndio sasa ana Mzungu wakeHapa nashangaa !kuna mdada anaitwa Phina Mango aliwahi kuwa na Ruge km Miaka 10 Hivi na kuendelea.tena walianzana kipindi Ruge karudi tu toka mtoni US.
Ruge na moka zake nyeupe na suti nyeupe Benzi jeupe namkumbuka mimi miaka yetu Kinondoni analetwa sana uswazi na huyu binti.
Sijui km walizaa ila walikua pamoja mda mrefu tu.phina alijiondokea Kimya kimya na kazi akaacha Faces international kampuni yao wakati ule akaja kuolewa miaka ya juzi hapa na mzungu.
Simuoni hata kusema anamjua jamaa.
Ka move on kimya kimya,hata shobo hana ila anajua kilichompata.
Kwa nini usifanye hivyo sasa binamuYan Mimi ningekua na page za umbea insta , ningekua na follower mil 10, yan ningekua napiga pesa za matangazo hatar , maana najijua Mimi mbea halafu umbea naupatia mpaka kumoyo mtu una feel , ahahah lol
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umejuaje mkuu[emoji23][emoji23]..ukisikia huko muoaji nisaidie unisitiri