Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Una hubby ww? Mbona kama u seem desperate n loner? Yani unasound kama George Volgerman lmao![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] u wish...[emoji23][emoji23][emoji23]sasa kwa taarifa yako hubby mie whte km hemed..kwendraaa
Haha kifupi ni kwamba wewe huwezi kuona u-handsome wa mwanaume mwenzio na usije ukajiangalia kwenye kioo ukaona unamzidi sisi wanawake ndio tutajua kuwa unamzidi au la na kukata mzizi wa fitna weka picha yako tulinganishe [emoji23][emoji23]
Menopouse has nothing to do with this my dear, kwani huyo kijana katangaza kutuoa hadi useme tunampapatikia ili tuolewe? Ni kwamba tunasema kile kinachoonekana na kumbuka Jf is the only place where we dare to speak openly sasa kama ukweli wetu umekuumiza pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakukubali sana mkuu,Pole ww sasa...mana me ata nikifika umri wa Mengi yule Reginald bado naweza kuopoa mtoto mkaree kama Kylyn ila ww apo saivi uko kwnye menoP so na ivo huna ela..hupati ata ben10 wa kukuliwaza
Pole ww sasa...mana me ata nikifika umri wa Mengi yule Reginald bado naweza kuopoa mtoto mkaree kama Kylyn ila ww apo saivi uko kwnye menoP so na ivo huna ela..hupati ata ben10 wa kukuliwaza
Haha kifupi ni kwamba wewe huwezi kuona u-handsome wa mwanaume mwenzio na usije ukajiangalia kwenye kioo ukaona unamzidi sisi wanawake ndio tutajua kuwa unamzidi au la na kukata mzizi wa fitna weka picha yako tulinganishe [emoji23][emoji23]
Menopouse has nothing to do with this my dear, kwani huyo kijana katangaza kutuoa hadi useme tunampapatikia ili tuolewe? Ni kwamba tunasema kile kinachoonekana na kumbuka Jf is the only place where we dare to speak openly sasa kama ukweli wetu umekuumiza pole
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂hubby aka bwana tu!Una hubby ww? Mbona kama u seem desperate n loner? Yani unasound kama George Volgerman lmao!
Ukiona mwanaume anaongea na dada zako relax usiwe na kiherehere utakuja kupigwa fingers...Yaani walaji wanasema chakula kitamu wewe usitekila unasema sio,
Mkuu vipi mbona unatupa mashaka sasa wenzio
Hiv mtu kuwa handsome rangi yake inamatter?Kweli wanawake hawaelewi wanataka nini,
Mara wanataka mwanaume mweupe
Mara wanataka mwanaume mweusi
Ata uyo Pimbi humpati mana Pimbi japo andunje ila naye anataka mtoto mkaree na sio mwenye mwanya kama Pengo ..simaanishi yule Pengo ambaye ni Kadinali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanichoma kumoyo..!yaan mie hta salamu sisalimiwi...!naanza jifunza kutongoza humu aisee...narudia tena ukisikia kina pimbi anataka mwanamke alert me
Ukiona mwanaume anaongea na dada zako relax usiwe na kiherehere utakuja kupigwa fingers...
My point was and still is, kama uyo jamaa ni handsome then wanaume karibu wote ni mahandsome...
Usipende kushoboka mbele za wakike...
Uyo hubby i guess atakua anafanana na George Volgerman ndo mana huna time naye kabisa zaiii unakuja kushinda umu ndani upate wa kukuliwaza????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hubby aka bwana tu!
Kwakua Kiringo alishakulamba basi unahisi wote ni kama wewe eti?Hata kwa bahati mbaya tu nikikuta mwananaume anaongelea uzuri wa mwanaume mwenzio faster namhalalisha kwa KIRINGO mlamba mwiko
Tupo Pamoja MkuuNakukubali sana mkuu,
Kwakua Kiringo alishakulamba basi unahisi wote ni kama wewe eti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waache wamwagikeWanaume wa jf wanaona wivu , lol , wasije wakanitekea mwachi mie , maana Ma povu yamewatoka hatari
Ni kweli hawawezi kuona tunachokiona, ni wanawake wachache tuliobarikiwa kuwa na jicho la tatu kuona uzuri wa mwanaume upo wapi
Nasema hvi , warumi na umbea wangu , nikimpata mwachi , umbea naacha, naenda kulea mume [emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Waliachana ghafla tu na kazi binti akaachia hajaongea wala hajasema chochote mpk leo. Ukiona watu wanavyolia kwa Ruge unabaki mdomo wazi km huyu dada angefanyaje sijui. Kapiga kimya anajililia kimoyomoyoDada alikuwa poa sana yule .Kilimpata kitu gani .Ndio sasa ana Mzungu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] povu linawatoka hataree yaani mimi nashangaa mbona wao wakisema demu mzuri huwa tunawaacha wabishane wao kwa wao khaa wanaume wana wivu jamaniDogo unanisaidia sana hii ni chitchat tu ..mbona wenyewe wana uzi wao ule wa wadada wakali hatusemi..khaa!eti anahis kila mwanamke desperate..oh tumeenda age hatuna wakutuoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..!WATUwanaftafuta hela yy anawaza kuolewa[emoji4][emoji4]!hajui watu wana kismat
Umenifanya ni comment humu yaani mimi mwenyewe hapa nacheka kama mwehu .Nawashukuru sana wanachichat,yaani nafanya kazi zangu kwenye PC huku app ya JF ikiwa on,kazi zikinizingua narefresh kichwa humu kwa kupata habari za mars na pluto zisizokuwa na kichwa wala miguu yaani ni burudani tupu.
Ukistaajabu ya mussa,haya sasa ndio ya firahuni chaaa😂😂😂😂dumejikeKumbe we ni wa kike...ndo maana umbea mwingi...nilikuwa najiuliza huyu mwanaume gan kila saa anapost shudu!?
Sent using Jamii Forums mobile app