Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Wewe nipende tu binamu , mambo ya jinsia niachie


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa nikikupenda kumbe dume mwenzangu si nitaumbuka mie, Warumi nakuelewa kinoma, God forbid, naomba uwe wa kike!
 
Ndo ukweli huo sasa.

Kuna demu moja la kihaya jeusi sema sina ushuzi atari nilikua nadate nalo....

basi lipo so insecured yani kila ukiwa naye utaskia bby u like my color? Bby ex wako walikua weupe au weusi? Bby unapenda girls weusi? Bby im so proud of my color, bby tukizaa mtoto atatoka kama chocolate awww cnt wait[emoji848][emoji848][emoji848]

Siku iyo nikalipiga squirt likamwaga maji mithili ya river congo then nikalipiga chini halikuamini macho yake....

Yani mademu weusi na wanene ni shida sana kudate watu kama hao ....wako so insecured...yani haamini kama uko nae!
Yaani wewe lazma ni mweupe umeumia huyu kijana kusifiwa...
 
View attachment 1038691
Ila wanazengo huyu mtoto mkubwa wa Ruge ni handsome. Yaani tangu nimuone siku ile akitangaza wasifu wa marehemu mi nilikua hoi mwenzenu, hata sisikilizi namuangalia tu alivyokua mashalah.

Mzuri mwenyewe halafu anaonekana mpole. Hawa ndo wazuri unawapanda kichwani na amefanana na baba ake mwenyewe Ila Mwachi handsome kumzidi baba yake.

Sijui nitampatia wapi wanazengo nimdangie na sasa hivi atakuwa na hela za rambirambi za kutosha tu.


Bongo movie kama nawaona wanavyommendea, na nitawaroga mwaka huu na kujirahisisha kwenu.

Na usikute akina Zamaradi walikuwa hawajui kama Ruge ana mtoto mkubwa vile, maana suala la urithi pale wasahau Mwachi wangu ndo anashika usukani. Akina Juju wataambulia kusomeshwa tu, kwanza mama yao kaolewa ataisoma namba.

Au ndo wataanza kumdanga na mtoto wa marehemu, maana Mwachi analipa bwana, yule hata bure mi nakubali.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kumbe wewe ni SHE..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona eeh , mwachi mwanaume bhana , sio kama akina Calisah waramba lipsi, na anaonekana yuko vzur Sita kwa sita, akikubinua huchomoki, aaaah


Sent from my iPhone using JamiiForums
Dah ww hatari sana.... comments za kule juu wamekutikisa tikisa.....huku chini umekuja kuwabinua kabisa...balaa
 
Ahahahaha! Squirting ya River Congo!

Made my night!
Ndo ukweli huo sasa.

Kuna demu moja la kihaya jeusi sema sina ushuzi atari nilikua nadate nalo....

basi lipo so insecured yani kila ukiwa naye utaskia bby u like my color? Bby ex wako walikua weupe au weusi? Bby unapenda girls weusi? Bby im so proud of my color, bby tukizaa mtoto atatoka kama chocolate awww cnt wait[emoji848][emoji848][emoji848]

Siku iyo nikalipiga squirt likamwaga maji mithili ya river congo then nikalipiga chini halikuamini macho yake....

Yani mademu weusi na wanene ni shida sana kudate watu kama hao ....wako so insecured...yani haamini kama uko nae!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo nimeona now pia , yeye ndo ka copy , angalia hii thread nimepost lini na yeye kapost lini Ndo utapata majibu

Watu humu wanajua vizur mwandiko wangu , Mara nyingi sana insta wanaiba content zangu , hata shigongo nae mpaka kwenye magazeti yake alikua anaandika umbea wangu

Binamu ukisikia warumi kimbia , Jina kubwa hili mjini , wadau wa umbea wote wananijua , lol


Huyo duller ka copy kila kitu , tena ka edit , Mimi nilimwita Mwasi yeye ndo kaandika Jina lake vzur mwachi , ahah


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sanaa tu nakumbuka kipindi hichoooo!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom