Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Hahha leo mie nacheka tu..khaa mara nip9 kwenye menopause mara nipo mp[emoji16][emoji16]..anywys hii ilikua chqngamsha genge dogo..tafuta hela..acha mapovu ya kijing ww
Sorry nilikosea ...uko kwnye Pre Menopause ndo mana unakua na mood swings za ajabu ajabu
 
Hebu nisaidie kumshangaa kidogo nimwambie hivyo nikaona ntamuudhi
Huwa napata wasiwasi sana mwanaume akipinga au kukubali kuhusu u-handsome au u-kibamia wa mwanaume mwenzio,

Wadada ndo wanajua nini wanataka mzee

Ni kama sisi wanaume tunavyowachambuaga watoto wa kali

Sioni sababu ya wewe kupinga mwamba ni handsome

Waache wadada wamdadavue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wanawake hawaelewi wanataka nini,
Mara wanataka mwanaume mweupe
Mara wanataka mwanaume mweusi
Wanaume weupe? Ndo nasikia kwako au utakuwa unapiga story na vitoto wewe maana hao hutafuta baby face

Fanya utafiti kwa wanawake kuanzia 27 kupanda halafu rudi unipe matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo nyie uhensam mnautafsiri kwa upande wa sura nzuri kitu ambacho sivyo

Huyu sura yake ni ya kawaida ya kiume

Kifua anacho

Rangi nyeusi iliyotulia

Sauti nzito

Urefu wastani

Kajikuta combi yake imebalance ndo maana sasa tunamuita hensam
Na maoni hayo mengi yameletwa na wadada waliokomaa/ matured
Mi jinsia yangu ni STRAIGHT As Fak!... make No mistake about that.

And Mi naona wanaume wengi We are far better than that!....
ila kama huyo jamaa anafall kwenye category ya mandsome then ni habari njema kwetu sisi wanaume....
maana apa naangalia kama uyo jamaa ni handsome well mi si ntakua the most handsome sasa???

Wanawake wa jamii wengi si mpo kwenye Menopause plus mna rejections nyingi kwa wanaume so apo inakua kama kipofu kaona mwezi........

Yani uyo ata nikimkuta na demu wangu simchukulii kama ni threat hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Limepatikana usijione matawi sana mzee hata hivyo hujaombwa contacts zake

Kaka zangu mnaniudhigi hapo tu kwenye kujiona mfyuuuuu
Huyo ndiye mwachi muhaya wanyumbani kwetu BK kazi yake ni Dj ningekupa contact zake najina analotumia Insta ila nimeshajua lengo lako, hapa hupati kitu kuniharibia mdogo wangu mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom