Mtoto wa Ruge ni shidaa...


Kama unataka uhakikishe hata wewe unaweza mpatia then utakuja kuniambia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Fina na Masoud walitangaza kipindi kimoja pale CLOUDS "MORNING JAM (km sijakosea kabla hakijaitwa PB) Na walikumbwa ote na lile sakata la US EMBASSY INTERVIEW kisha wakafukuzwa Kazi pamoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeamua tu kumuoffend warumi
hajawahi kutaja popote jinsia yake!
NA THE FACT ANAWACHANGANYA MUMUHISI NI MWANAUME SHOGA , NI MWANAMKE, NI MWANAUME MCHELEMCHLE!
huo ndo upekee wake!
Sasa binamu ole wako ujiweke hapo af usiwe unanitumi vocha!
NAKUROGA SHINGO IGEUKIE JUU!
psyuuuuuuuuuu na hushindwi kunichinjia baharini wewe nyau!
 
Babuuuuu!
Wazee vijana tu ndo tutakuelewa na habari za ndege mNANA
ahahahhahha Ruge ,
ah RUGE shikamooo!
 
Haha mwambie huyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sure mwanaume unamcheka mwanaume mwenzio eti kibamia umejuaje? Au na weww unaona inapwaya kwa 0713

Siwaelewagi kabisa hawa watu

Kama unataka uhakikishe hata wewe unaweza mpatia then utakuja kuniambia


Sent from my iPhone using JamiiForums

Official sasa wewe ni mwanaume mchele mchele

Siku-quote wewe ila naona imekuingia umeona ujibu
 
Nadhani mleta mada alilenga kumpa ujumbe aliyewahi kuwa mzazi wa marehemu , kusahau swala la mirathi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…