Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sio jujuman bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni junior sema zama ndo anafupisha kwa kumwita juju(maneno yake mwenyewe Zama)
Sent using Jamii Forums mobile app
Masudi si amerudi miaka ya karibuni tuIlikuaje Masudi akarudi sasa
inaweezekana maana walikuaga wanasema ni mtoto wa ujanani.Huyo wa msiba ndo yule wanasemaga alimtia mimba mwanafunzi wa primary enzi izo anakaa mlimani?
Inawezekana ndo yeye maana uyo jamaa hakosi miaka 30 ya umri...so ukipiga esabu vizuri inawezekana mimba yake ilitungwa wakati mama ake yupo primary school!
Uyo mama travis naye ni msanii ama muuza nyago?
nimesoma kwamba kaonekana kwenye mitandao baada ya kifo which is not trueDuuh mwenza kuna mtu amesema ilikuwa siri? Na kitu kikipostiwa insta kila mtu ataona
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni CV yake au kutamka kizungu? Kama ni kizungu nadhani ni kwa sababu anaishi Marekani (kwa mujibu wa wadau wa kwenye huu uzi)Kama kuna mtu umu anafahamu elimu ya mwachi atuwekee wasifu wake maana niliona kama kiswahili anakitamka kama kizungu.
Penye u-black hapo ndipo utamu wa mwanaume ulipo we vipiHUYO NAYE NI HANDSOME MBONA MTU MWENYEWE BLACK SANAA. AMA WENGINE TUNA MAKENGEZA.
Ningependa kujuwa kama maji yamefata mkondo kielimu.Shida ni CV yake au kutamka kizungu? Kama ni kizungu nadhani ni kwa sababu anaishi Marekani (kwa mujibu wa wadau wa kwenye huu uzi)
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁tunamuita mtoto ili mjue ni mtoto wa boss rugeKwani uyo jamaa ni mtoto sasa mbona njemba kubwa kabisa iyo si karibu 30 somethin??
Kuna mwingine juzi kasema kwamba ataolewa na Mhaya ili apate angalau milo yake yote mitatuHaya sasa baada ya msiba
Movie mpya imeanza .Kwa Hali hii mtakwepaje kuolewa na wahaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Masoud aliendelea na issue zake kama Maisha Plus na Nyinginezo.. Baadaye nadhani labda walimaliza tofauti zao akarudi... Kwani BP ilimuhitaji zaidi Masoud....kuliko Masoud alivyoihitaji BP.Ilikuaje Masudi akarudi sasa
Binti anaitwa shubi, kavulana kanaitwa juju kama sijakosea
Tuko wengisiku zote najua huyu jamaa ni Mwanamume flani mpenda habari za wasanii.
Duh ulipoteleaga wapi? Hivi miss chaga yupo?Kwani ilikuwaje hiyo hadi ikapelekea kufukuzwa kazi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yes...why sasa alirudi ama walimalizana?
Aah okay thnxinaweezekana maana walikuaga wanasema ni mtoto wa ujanani.
Mama Travis kwa kweli file lake silijui zaidi ya kujua kazaa na Ruge na ikasemekana mtoto sio wa Ruge japo wakati wa mimba walikua nae