jown
Senior Member
- Aug 29, 2017
- 194
- 271
Hahahaa. Achaa niwaaaze waaazee acha nikufikirieSema kakosa ndevu[emoji4]mwanaume bila ndevu dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa. Achaa niwaaaze waaazee acha nikufikirieSema kakosa ndevu[emoji4]mwanaume bila ndevu dah
Jamani, jamani! Warumi nimekunyooshea mikono... Sio kwa kudata huku!
Nasikia baba mtu(Mungu amrehemu) alikua balaaaaaa..kazi kubwa..ts sad kaondoka na utaalamu wakeUmeona eeh , mwachi mwanaume bhana , sio kama akina Calisah waramba lipsi, na anaonekana yuko vzur Sita kwa sita, akikubinua huchomoki, aaaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyu kaka muweke yuke Baraka wa dstv muweke na huyu Mwachi alafu weka wanawake 100 waende kwa wanayemfeel..90 wataenda kwa mwachi!unataka kumfananisha mwachi na vitu vya kijinga eh
Achana nae huyo mshamba, makong kodi Ndo tunaelewa vitu vikali
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nasikia baba mtu(Mungu amrehemu) alikua balaaaaaa..kazi kubwa..ts sad kaondoka na utaalamu wake
Hopefully atakuwa amemrithisha Mwachi😊Nasikia baba mtu(Mungu amrehemu) alikua balaaaaaa..kazi kubwa..ts sad kaondoka na utaalamu wake
Endeleeni kushusha burudani ambazo uwezi kuzipata hata ukigoogle aisee.
Yule mwachi hata Mimi naenda, Tena bila condom , anaonekana mtamu Yule kaka uwii,
Sent from my iPhone using JamiiForums
8Hahahaa. Achaa niwaaaze waaazee acha nikufikirie
Asante sana kwa umbeya na majungu,yanii full burudani.Ahaah umeona eeh ? Hizi raha huzipati kokote isipokua kwa warumi , mother of the darkness 🤣🤣
Karibu tena binamu , uwe unapitia udhi wangu
Sent from my iPhone using JamiiForums