macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Naomba soma post yangu #35 kwenye thread hii hii, utapata jibu ya hili.
Hata akisoma post yako itasaidia nini wakati wewe unaangaliaga DINI ya mtu kabla ya kumtolea comment?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba soma post yangu #35 kwenye thread hii hii, utapata jibu ya hili.
Mwanzo umesema tusubiri, umekataa speculation, umesema hivi: "...habari kama hii inatakiwa kwanza kujua ukweli hasa wa kilichotokea"
Halafu sasa hivi unakuja na hadithi za kwamba wanaume wanaacha wanawake zao wanaenda kuruka na June Warioba.
Traffic incident haihusiki na huo udaku.
Hata akisoma post yako itasaidia nini wakati wewe unaangaliaga DINI ya mtu kabla ya kumtolea comment?
Tanzania is increasingly turning into a police state.
Not to advocate anti-police behavior, but as a civil libertarian myself I can understand her position given the god like powers the police have over citizens.
What was the reason that warranted the inspection? Or the police has a right to stop and inspect any car for any reason, or no reason? If that is the case, is civil disobedience warranted?
Mimi nilifikiri June kampiga mtu, au kafanya kitu cha kuaibisha.Katika hii non story huyu dada ana challenge a police state inayo harass wananchi unnecessarily.
Waandishi wa habari wameshindwa kui cover hii habari vizuri, sheria za barabara zinasemaje? Traffic police ana haki gani na dereva ana haki gani? Kwa nini June hakutaka hii inspection? Je ilikuwa ni jeuri tu au alikuwa na valid arguments?
According to the police sources, Cpl Emmanuel then jumped onto the cars front hood and hung right there, refusing to get off until Ms Warioba complied with the order.
Nakubaliana na wewe, I belive she was provoked sijui na nini. She used to be a good girl except for smoking ambayo sio kosa.Pasco,
Police wana lao moja tu wanapomkamata mtu ambaye wanahisi kafanya kosa, ni 'twende kituoni basi'. Ukienda kituoni utaulizwa na kuambiwa kosa lako. Hapo utajitetea kwa kukubali au kukanusha. Ukifanya hivyo, kinachofuata ni kupewa dhamana kama unastahili dhamana hiyo. Kwa upande wa pili, Police wana haki kisheria kumfamnya mtuhumiwa a-comply' hapa ni matumizi ya nguvu. Ukikomaa kama Bw. Pasco ulivyosema jiandae kukutana na mkono wa chuma na hatimaye kufunguliwa mashitaka na huenda ukafunguliwa mashtaka huku ukiwa na nundu na majeraha uliyopata kutoka kwa police baada ya kukaidi amri.
Huyu Binti, umesema unamjua kwamba ni mpole, kama mwandishi wa habari hii, ameandika ukweli, basi dada yetu kafanya kosa tena anastahili kufunguliwa charge, pia nachelea kusema binti huyu ana kiburi kisichoelezeka. Labda ni kwa vile alisimamishwa na mwanamke mwenzake au vipi tuseme. Nashauri unapoamriwa na mamlaka (police) ya dola wewe tii kwani ndio utaratibu then wakuambie kosa lako, kwani mara ngapi tunasimamishwa barabarani kwa ajili ya kutoa ufafanuzi wa jambo fulani na ukimaliza wanakuachia unaenda zako. Pole dada yetu kiburi kimekuponza.
Haya tuone Warioba atafanya nini, atamtetea mhalifu au ataacha sheria ifate mkondo.
Waandishi wa habari, hii ndio habari ya kufichuwa ufisadi, kwani huu ni ufisadi wa wanene na vipi hata watoto zao wanavyojiona kuwa wakoo juu ya sheria. Akiachiliwa bila ya sheria kufata mkondo basi itakuwa ni rushwa, ama ya pesa ama ya influence.
Afanye mwanagu hayo, saa hizi manundu mwili mzima na pengine kisha pigwa hata risasi.
*******************************
Dar es Salaam: Leo hii mkulu unasema kitu kama hicho? Yaani kuukandia ufisadi? Ninavyokuelewa post zako nyingi huwa zinakwenda against wale wanaopinga mafisadi na ufisadi. Au Warioba ni hayumo ktk wale unaotakiwa kuwatetea?
hongera sana dar es salaam kwa posts zako nowadays.....umeacha posts za kidini kidini.....au kwa warioba sio mneynyekevu ngoja niendelee kukusoma.......Naomba soma post yangu #35 kwenye thread hii hii, jibu utalipata pale.
... na hadithi za wanaume wa watu wenye tabia mbaya ya kuruka ruka na June Warioba...
Umenikuna sana Kiranga,Tanzania is increasingly turning into a police state.
Not to advocate anti-police behavior, but as a civil libertarian myself I can understand her position given the god like powers the police have over citizens.
What was the reason that warranted the inspection? Or the police has a right to stop and inspect any car for any reason, or no reason? If that is the case, is civil disobedience warranted?
Mimi nilifikiri June kampiga mtu, au kafanya kitu cha kuaibisha.Katika hii non story huyu dada ana challenge a police state inayo harass wananchi unnecessarily.
Waandishi wa habari wameshindwa kui cover hii habari vizuri, sheria za barabara zinasemaje? Traffic police ana haki gani na dereva ana haki gani? Kwa nini June hakutaka hii inspection? Je ilikuwa ni jeuri tu au alikuwa na valid arguments?
Hakuna kitu kibaya kama wakati unashughuli zako, polisi anajisogeza katikati ya barabara na kunyoosha mkono wake.
Ukisimama anakuambia hebu tuone kibali chako cha uendeshaji - unampa, mara washa taa, unawasha, kadi ya gari unampa, fire extinguisher! then you like ! ammh! i don't have that one! Jibu lake linakuwa, utahitaji kunifuata polisi.
Then you are like what! Mimi nilidhani unapaswa kunipa maelezo na onyo la mdomo ! why should i need a fire extinguisher in my car anyways! Ni sheria kijana, kwanza umepata wapi hii leseni yako! Kwa uvumilivu kabisa unajibu, leseni yangu nimepewa na vyombo vyenu vya usalama, halafu hiyo sheria ya fire extinguisher it bypass me. Could you please explain to me the rule, ilinifuate!
kama hujazoe culture ya rushwa basi lazima maongezi yako na police yaishie pabaya! Mwisho, polisi anasema fungua mlango twende kituoni! Jibu langu nakwenda kituoni, lakini sikupi lift ya kwenda huko utanikuta kituoni. Polisi akasema unakaadi taratibu za kiusalama! NIkamwambia huo utaratibu ambao umeandikwa kwenye sheria ni lazima upande gari langue twende polisi mimi siujui! Kama unahitaji kopi ya gari yangu and leseni yangu nitakupa, lakini lifti hapana. Nikamtaarifu pia atanikuta kituo chao ostabey!
kufika saint peters napigwa mkono mwingine, nakamwambia bwana polisi, mimi naelekea polisi kufuatia makoso ambayo nimekamatwa na afande hapo nyuma. Akajibu nimepigiwa redio koli umekaidi kusimama! Nikasema hapa, nilichosema sitaweza kumpa lifti ila mimi naelekea kituoni. Naye huyu akasema ni lazima tupande ili tuhakikishe unafika polisi, nikasema hapana! utanikuta hapo. Nikatia gari moto na kuelekea kituoni.
Nikafika nikajieleza, wakanizungusha hapo, mwisho nilipigwa fani za kala ainna na kufikia laki! Nikalipa na kuondoka zangu! Wakati natoka afande mmoja akaniambia, sasa vurugu yote hiyo, si ungetoa buku jero mwanzo yangekuwa yameisha! Nilitabasamu na kuendelea kutembea maana ningemjibu ningejikuta rumande kwa jazba niliyo kuwa nayo.