Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Sikatai, kama ni kiburi cha kuzaliwa nacho hakiishi kichwan mwake, lazima chembe chembe zibakie tu.Nyege zikimrudia kiburi kipo pale pale
Huwezi kushindana na ulipotoka kalaghabaho 😅🙅Sikatai, kama ni kiburi cha kuzaliwa nacho hakiishi kichwan mwake, lazima chembe chembe zibakie tu.
Lakini kama ni kiburi cha dharau, kinakwisha chote, upendo na heshima vinatamalaki.
Ujue mkuu "bond" ya upendo kati ya mwanamke na nwanaume saazingine huungwa kwa sex, tena ngono zembe ndiyo suluhisho la fitina zote!
Ndilo nililokua nafikiriHII KAULI...HUYU MTOTO SIO WAKO... IMEUA WANAWAKE NA WATOTO WENGI SANA
Tatizo ni ndoa ya kusaini karatasi, ngumu kumuacha bila kuporwa nyumba na mahakamaKwa mfano angewaacha ajitafutie chombo kingine ingekuwaje?
Mbona wanaume soko lenu kubwa na la muda mrefu?
Wanaume mnajiona nyie mko perfect sana[emoji57]. Hata na sisi kuishi nanyi ni kipaji vilevile. Ni vile wanawake hatuna tabia za kuongea ongea mambo ya majumbani kwetu. Tukianza kufungua midomo server za jf zitaburst.Kuishi na mwanamke ni kipaji maalum kabisa na ni karama sio kila mtu anaweza! Unaweza jikuta umefanya tukio ambalo kila baada ya dk 2 ukikumbuka unasisimuka mwili mzima! C ajabu mwamba kajibiwa nyodo " mtoto mwenyewe c wako unajiona unana nini la ajabu!!? " [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na mwamba akiangalia mapambano anayopitia ili kuimudu hiyo familia ni mzikiView attachment 2530586View attachment 2530588View attachment 2530589View attachment 2530590
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]HII KAULI...HUYU MTOTO SIO WAKO... IMEUA WANAWAKE NA WATOTO WENGI SANA
Wanawake midomo yenu ndio inayo vunja nyuma, midomo yenu ndio inayo sababishaga maafa kuna ishu za kushikana masikio nazo huwa zinatugharimu sana, swala la wewe na mtu wako lakini mpaka ukakae cabinet na mtu au watu kuamua maswala ya nyumbani kwako! Kuna mpumbavu kaacha nyumba yake aliyokua akiishi kwa raha mustarehe kaenda kupanga kwa sababu hizo sshv anasumbua kuomba omba kodi na kila mahala na hata walio mshauri huo ujinga wanamkwepa sasa hivi ni mwendo wa kupisha kapu na kugawa mbususu! Umeona balaa hiloWanaume mnajiona nyie mko perfect sana[emoji57]. Hata na sisi kuishi nanyi ni kipaji vilevile. Ni vile wanawake hatuna tabia za kuongea ongea mambo ya majumbani kwetu. Tukianza kufungua midomo server za jf zitaburst.
Kwani wanaume mnaongea kwa kutumia nini? Tabia mbovu hazina jinsia.Wanawake midomo yenu ndio inayo vunja nyuma, midomo yenu ndio inayo sababishaga maafa kuna ishu za kushikana masikio nazo huwa zinatugharimu sana, swala la wewe na mtu wako lakini mpaka ukakae cabinet na mtu au watu kuamua maswala ya nyumbani kwako! Kuna mpumbavu kaacha nyumba yake aliyokua akiishi kwa raha mustarehe kaenda kupanga kwa sababu hizo sshv anasumbua kuomba omba kodi na kila mahala na hata walio mshauri huo ujinga wanamkwepa sasa hivi ni mwendo wa kupisha kapu na kugawa mbususu! Umeona balaa hilo
Dhambi huzaa mauti.Hata kama mbona wasichana wako tu wengi??? Angeachana naye atafute mwingine
Wewe kum..... La. Mama yako.Saa ingine unaeza kwenda mbali na kusema bora kuwa hanithi tu,nishachoka mimi
Unajua ki psychology wanawake wanajihisi kuonewa mida wote hivyo hata mashauri mnayo peana ni visanga vitupu sisi wanaume ndio wahanga wa maamuzi mabovu mnayopeanaKwani wanaume mnaongea kwa kutumia nini? Tabia mbovu hazina jinsia.