Mtoto wa wiki mbili aliyechomwa kisu afariki dunia

Nyege zikimrudia kiburi kipo pale pale
Sikatai, kama ni kiburi cha kuzaliwa nacho hakiishi kichwan mwake, lazima chembe chembe zibakie tu.

Lakini kama ni kiburi cha dharau, kinakwisha chote, upendo na heshima vinatamalaki.

Ujue mkuu "bond" ya upendo kati ya mwanamke na nwanaume saazingine huungwa kwa sex, tena ngono zembe ndiyo suluhisho la fitina zote!
 
Inasikitisha sana na pole yao sana wafiwa...
 
Mnaooa acheni ukatiri, kwani kuna mtu alikulazimisha kumiliki mke......??..tamaa zenu za kijinga mnaletea simanzi taifa dadeki 😥😥😥

Aya sasa jera maisha inakuhusu?
 
Huwezi kushindana na ulipotoka kalaghabaho 😅🙅
 
Kuishi na mwanamke ni kipaji maalum kabisa na ni karama sio kila mtu anaweza! Unaweza jikuta umefanya tukio ambalo kila baada ya dk 2 ukikumbuka unasisimuka mwili mzima! C ajabu mwamba kajibiwa nyodo " mtoto mwenyewe c wako unajiona unana nini la ajabu!!? " [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na mwamba akiangalia mapambano anayopitia ili kuimudu hiyo familia ni mziki
 
Wanaume mnajiona nyie mko perfect sana[emoji57]. Hata na sisi kuishi nanyi ni kipaji vilevile. Ni vile wanawake hatuna tabia za kuongea ongea mambo ya majumbani kwetu. Tukianza kufungua midomo server za jf zitaburst.
 
Hizi ndio aina ya taarifa zenye wataalamu wengi.

Kila mtu atajifanya anajua cha kusema.
 
Wanaume mnajiona nyie mko perfect sana[emoji57]. Hata na sisi kuishi nanyi ni kipaji vilevile. Ni vile wanawake hatuna tabia za kuongea ongea mambo ya majumbani kwetu. Tukianza kufungua midomo server za jf zitaburst.
Wanawake midomo yenu ndio inayo vunja nyuma, midomo yenu ndio inayo sababishaga maafa kuna ishu za kushikana masikio nazo huwa zinatugharimu sana, swala la wewe na mtu wako lakini mpaka ukakae cabinet na mtu au watu kuamua maswala ya nyumbani kwako! Kuna mpumbavu kaacha nyumba yake aliyokua akiishi kwa raha mustarehe kaenda kupanga kwa sababu hizo sshv anasumbua kuomba omba kodi na kila mahala na hata walio mshauri huo ujinga wanamkwepa sasa hivi ni mwendo wa kupisha kapu na kugawa mbususu! Umeona balaa hilo
 
Kwani wanaume mnaongea kwa kutumia nini? Tabia mbovu hazina jinsia.
 
Sio mapenzi, kuna pepo baya au mwanaume ana nati ya kukaza.RIP mama na mtoto, ni huzuni kubwa.
 
Kwani wanaume mnaongea kwa kutumia nini? Tabia mbovu hazina jinsia.
Unajua ki psychology wanawake wanajihisi kuonewa mida wote hivyo hata mashauri mnayo peana ni visanga vitupu sisi wanaume ndio wahanga wa maamuzi mabovu mnayopeana
 
Kutumia kisu ni ushamba na ujinga uliokubuhu, ni wa kunyonga na afutike katika uso wa dunia ili asiambukize wengine huu ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…