Mtoto wa Yoweri Museveni asiruhusiwe kukanyaga Tanzania, Siyo mzima

Mtoto wa Yoweri Museveni asiruhusiwe kukanyaga Tanzania, Siyo mzima

Mkuu umemaliza kila kitu ,jamaa wa CDM wanna chuki Sana na watu waliofanikiwa either kisiasa au kiuchumi hupelekea kuwachukia watu na kuwaita wesi bila sababu ..Nin rfk angu Ni chademaa damuu ila chuki alizonazo usipime aliwa nimbia kak angu mm anapiga hell Sana nikamuambia kak angu ni professional hategemei Kaz za serekali kuwa hapo yey Ni value nnje ya ya Kaz zake za ardhi nikaona kbsa huu Ana wivu mno anatamani chadema watee nnchi wajekunyanganya watu Mali zao

CDM ina vijana wapuuzi snaa
Uongo mtupu !
 
Wakuu

Fikirieni upya

Kuna chakula kinapikwa kikiiva tutaletewa tule!

Wamebadili style TU!zamani majibizano yalikuwa kati ya mseven na pk,leo ni mseven na Mtoto wake!!

Inatafutwa namna ya dogo kushika hatamu na kubadili sera za waganda na siasa ZAO!!

Yaani escape route ya u dictator kupitia muhoz na sio vinginevyo!!

Uganda mpya itazaliwa!

TUSUBIRI
 
Ni kweli kabisa Mdogo wangu wa Damu steveachi huyu Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni Mtukutu Muhoozi Kainerugaba Kifamilia na Kiurafiki ni Kaka na Ndugu pia kwa Heshima ya Mzazi wangu na Mzazi wake ( Rais Museveni ) na pia kwa Ukaribu wa Familia nzima ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kuhusu huu Upuuzi wa Muhoozi Kainerugaba ni kwamba hata Mzazi wangu, Familia ya Hayati Baba wa Taifa pamoja na Watu wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ( MNF ) Wamechukizwa sana na hili ( hiki ) anachokifanya.

Kuna Watu Maalum ( akiwemo Mzazi wangu ) muda wowote kuanzia sasa wanaenda nchini Uganda kuonana na Baba yake Mzazi Rais Museveni na GENTAMYCINE nina Imani Kubwa kwa Heshima Kubwa aliyonayo Rais Museveni Kwao ( dhidi yao ). basi atawasikiliza na atamuonya mazima Mwanae kwakuwa hawa Watu Maalum wanaoenda Kumuona ndiyo kwa 99% wamemfanya Rais Museveni awe Rais wa Uganda kwa Uratibu mkubwa wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Binafsi Mwenyezi Mungu akipenda na Kubariki zaidi ama mwishoni mwa Mwaka huu 2022 au mapema mwanzoni mwa Mwaka ujao 2023 nitakuwa kwa Rais Museveni kwa Jukumu Maalum na nitakuwa Jirani na Mama ( First Lady Janet ) na Watoto wao hasa huyu Muhoozi na Dada yake Natasha ambao nina Ukaribu nao mkubwa kwakuwa Wote wamezaliwa Upanga Dar es Salaam Tanzania na wamekuwa pia wakija mara kwa mara Tanzania katika Matukio mbalimbali ya Kifamilia zetu na Urafiki wetu.

Mwisho labda nichukue Fursa hii Kuwaombeni Radhi Watanzania ambao kiukweli Mnachukizwa na haya ayafanyayo Muhoozi Kainerugaba kwani kiukweli hata Mimi pamoja na Wanafamilia wa huku Tanzania tumekwazika nalo ila muda si mrefu litakwisha.

Tunachokiona sasa ni kuwa huenda huyu Muhoozi Kainerugaba akawa na tatizo fulani Kichwani ( anadata ) au Kupendwa kupita kiasi na Kudekezwa mno na Baba yake huku akipewa Majukumu makubwa ya Kijeshi na Kiserikali ndiyo yamemponza na kumpa hizi Jeuri zote na hiki Kiburi chake chote.

Kuhusu Yeye Kuichokoza au kuisema vibaya Tanzania hilo nawatoeni Hofu Watanzania ( wana JamiiForums ) kuwa mara zote ambapo nilikuwa nae 1996 - 2002 Kwao Ikulu ya Nakasero nchini Uganda na kule Kijijini Kwao Rwakitura, Shambani Kisozi na Milimani kule Ntungamo na mwaka 2014 hadi katika Mawasiliano ya Simu na Mtandao hakuna nchi anbayo Muhoozi Kainerugaba anaipenda, anaiheshimu na anaigopa Kijeshi na Kiusalama ( Kiujasusi ) kama Tanzania yetu hii hivyo ondoeni Hofu na nasisitiza kuwaombeni kuwa Msameheni.

Asanteni.

Cc: Erythrocyte
Amedata?? Kwani ni lini amewahi kuwa na akili timamu? Huyu mzee ameanza kuvuta bangi na kuwa mlevi kitambo sana nakumbuka siku ya graduation ya M.A ya Mama Janet pale UCU Mukono alikuja vyoo vya hosteli huku za Nsibambi kuvuta bangi huku tayari "amelewa chakari" it was so embarrassing!! Tokea pale nikajua huyu jamaa ni mhuni tu Wala hana uongozi wowote zaidi ya kubebwa bebwa.

So mkienda, mumshauri tu awe manager wa club za pombe ila kusema eti anadata au anapendwa sana sio hoja maana ni mvuta bangi miaka yote na wewe unajua Hilo.
 
Wakuu

Fikirieni upya

Kuna chakula kinapikwa kikiiva tutaletewa tule!

Wamebadili style TU!zamani majibizano yalikuwa kati ya mseven na pk,leo ni mseven na Mtoto wake!!

Inatafutwa namna ya dogo kushika hatamu na kubadili sera za waganda na siasa ZAO!!

Yaani escape route ya u dictator kupitia muhoz na sio vinginevyo!!

Uganda mpya itazaliwa!

TUSUBIRI
Mkuu Hilo haliwezekani, mpango ulikua mapinduzi then Muhoozi awe Rais lakini plan ilifeli tokea 2017 na majenerali wale top wote eg Tinyefunza, either walikufa au walitoroka nchini baada ya kugomea plan Ile.

Ni hivi siku Museveni anadondoka UG itapasuka kati kati wagganda (Central) watataka Chao na wanyankole (Westerners) watataka Chao so hapo Muhoozi hana pa kupitia unless yatokee mauaji makubwa zaidi katika historia ya Afrika.
 
Mkuu umemaliza kila kitu ,jamaa wa CDM wanna chuki Sana na watu waliofanikiwa either kisiasa au kiuchumi hupelekea kuwachukia watu na kuwaita wesi bila sababu ..Nin rfk angu Ni chademaa damuu ila chuki alizonazo usipime aliwa nimbia kak angu mm anapiga hell Sana nikamuambia kak angu ni professional hategemei Kaz za serekali kuwa hapo yey Ni value nnje ya ya Kaz zake za ardhi nikaona kbsa huu Ana wivu mno anatamani chadema watee nnchi wajekunyanganya watu Mali zao

CDM ina vijana wapuuzi snaa
Kwahiyo chuki za ndugu yako mmoja ndio una summarise ni chadema wote?
Unakumbuka tumbua ya JPM nani aliyefurahia zaidi ya Wana CCM? si ni nyie mlikua mnalalamika vijana wa Chadema kuwatetea waliotumbuliwa??

Acheni kuspin, Chadema haijawahi furahia downfall ya mtu yeyote wa serikalini unless unadhani Kigogo na mange ni chadema whilst ni CCM wale.
 
Huyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein .

Huyu hatakiwi kuruhusiwa kukanyaga ardhi ya Tanzania hadi kiama , ITAKUWA AIBU SANA KWA TANZANIA KUPOKEA MGENI DUNI KAMA MUHOOZI MUSEVENI
Akituletea ujinga tutampiga hadi achanganyikiwe
 
Mkuu Hilo haliwezekani, mpango ulikua mapinduzi then Muhoozi awe Rais lakini plan ilifeli tokea 2017 na majenerali wale top wote eg Tinyefunza, either walikufa au walitoroka nchini baada ya kugomea plan Ile.

Ni hivi siku Museveni anadondoka UG itapasuka kati kati wagganda (Central) watataka Chao na wanyankole (Westerners) watataka Chao so hapo Muhoozi hana pa kupitia unless yatokee mauaji makubwa zaidi katika historia ya Afrika.
Mkuu

Kwani muhoz yupo wapi kwa Sasa!?

Yupo
uganda au nje ya uganda na anatumika kwa cheo kipi!!?

Kama ni kweli alitaka kupindua mseven asingemuacha hai hadi leo!

Labda ni game ilichezwa ile!yaani walicheza na maisha ya majenerali!!

Plan yao ipo pale pale!!

Nqkumbuka huyu muhoz kanerugaba alienda kwa kagame na kupewa ng'ombe aina ya inyambo HUYU!!

Kuna jambo lao!

Wanatuchezea akili tu!!
 
Ma ccm wanatqbia za kishenzi kuliko huyo museven junior!!
Aje tu,wakati anakutana na Samia,ampige busu tu
 
Mkuu

Kwani muhoz yupo wapi kwa Sasa!?

Yupo
uganda au nje ya uganda na anatumika kwa cheo kipi!!?

Kama ni kweli alitaka kupindua mseven asingemuacha hai hadi leo!

Labda ni game ilichezwa ile!yaani walicheza na maisha ya majenerali!!

Plan yao ipo pale pale!!

Nqkumbuka huyu muhoz kanerugaba alienda kwa kagame na kupewa ng'ombe aina ya inyambo HUYU!!

Kuna jambo lao!

Wanatuchezea akili tu!!
Mkuu hayakuwa mapinduzi ila ilikua namna ambayo walitaka ionekane kama jeshi limempindua M7 alafu Muhoozi ndio shujaa kuwakomboa wagganda.

Plan B kama uliona wagombea Urais wote Wenye nguvu walikua wanyankole wenzie M7 kuanzia Besigye mpaka Mugisha Muntu yote ilikua ni exit plan ya M7 kama itatokea la kutokea basi utawala ubaki nyumbani kwake.

Ila Boni Wine ame complicate hizo hesabu maana wagganda ambao ndio wengi zaidi wamepata mgombea wao na chama Chao hivyo hakuna namna Muhoozi atarithi huku Kabaka (Chifu wa wagganda) anamuangalia tu.

Naona Giza kubwa hapo mbele
 
Amedata?? Kwani ni lini amewahi kuwa na akili timamu? Huyu mzee ameanza kuvuta bangi na kuwa mlevi kitambo sana nakumbuka siku ya graduation ya M.A ya Mama Janet pale UCU Mukono alikuja vyoo vya hosteli huku za Nsibambi kuvuta bangi huku tayari "amelewa chakari" it was so embarrassing!! Tokea pale nikajua huyu jamaa ni mhuni tu Wala hana uongozi wowote zaidi ya kubebwa bebwa.

So mkienda, mumshauri tu awe manager wa club za pombe ila kusema eti anadata au anapendwa sana sio hoja maana ni mvuta bangi miaka yote na wewe unajua Hilo.
Bangi huwa mnaionea tu ni akili zake ziko hivyo
cc: Ganja ni dawa
 
Hizo tabia za vinyongo na visasi peleka huko huko Ufipa.
Nchi inafuata Demokrasia na protocol ya Diplomasia haina hicho kifungu.
Haya mambo vema umpelekee mwenyekiti wa kamati ya wapika sumu.... #Kubenea atumie kwenye kijarida chake ili apate neno la kuuzia karatasi zile.

Kauli zake zina madhara gani kwa Tanzania mpaka sasa?
Je!
Unaujua hata mchango wa Museveni na Kagame walioutoa wakati tukipigana na na Idd Amin?
Je!
Je unajua kwamba Museveni,kwa kuipenda Tanzania,alilazimika kubatilisha mpango wa bomba la mafuta Hoima-Mombassa na kulileta Tanzania kwenda Tanga?
Unajua kwamba Muhoozi ni mzaliwa wa hapa Tanzania?

Hizo chuki za #Chadema haziwajengi hata kidogo.halafu mnataka kushika dola?

Labda ya kule Rundugai!
Wana matatizo sana

Tena sio madogo
 
Back
Top Bottom