Mtoto wangu ana baba wawili

huna haja ya kumaliza pesa zako kwa kufanya DNA bwan,, kuna wazee wapo vijijin uko wamebarikiwa jicho la tatu, yan akimtizama tu mtoto ivi,unapata jibu direct proportional to the point 😄
 
Mkuu mbona na mm nimehisi hamko wawili tu?Dah ila manzi enu kiboko kabisa.Mfano tumekushauri umlee mtoto no mara waaa,je utaitwa baba nani?Maana mtoto sahizi anatumia jina alilopewa na baba ake mkubwa.
 
Unamsagia kunguni mwanamke kicheche.
Kataa ndoa wanakuja kuuliza uliona cheti cha kifo au kaburi la baba wa mtoto wa single mother?
 
Mwamba akapime DNA hata akute mtoto ni wake yeye atoe huduma tu kwa mtoto ila sio kigezo cha kufanya maisha na huyo mwanamke. Kwa nini? Kuna sababu mbili kuu

KWANZA, mwanamke ni malaya. Nimeona kuna sehemu mwamba anasema demu alikuwa anaishi na jamaa wana mtoto mmoja.

Imagine jamaa kaja Dar tu leo anaomba mzigo kesho anatunukiwa hiyo tayari ni red flag kuwa manzi ni malaya na hata hajui baba wa mtoto ni nani inaonyesha anatombesha sana.

PILI, akifanya naye maisha kisa tu mtoto ni wake atakuwa amefanya maisha na single maza. Na kanuni zetu ni zilezile inapohusu single maza:

●Hatulei bao la mwanaume mwingine

●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake

●Single maza waolewe na baba za watoto wao

●Single maza ni wa kupiga na kusepa

Mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza

Learn or perish
 
Haya ni maelekezo muhimu sana kufuatwa.
 
Duuh, aisee!

Kama hili ni kweli (jaribu kuhakiki) basi mtoto atakuwa ni wako.

Kuhusu kupima DNA, kwa kuwa mama hana uwezo wa kipato kutunza mtoto utapewa matokeo ya mchongo
Hakuna hiyo kitu Mkuu DNA Mamlaka haiwezi kufanya huo ujinga B'se kuna sehemu nyingi za kupima DNA Kwaiyo Hawezi kukupa majibu ya uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…